Van persie
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,099
- 720
Safi kumbe hawaitaki CCM Ila wanamtaka Lowasa Ila Kumbuka CCM hawamtaki Lowasa. Nape na Viongozi wake wana Mwita Fisadi. Unajua hilo?.Watu wa kanda ya ziwa hawtaki kudanganywa tena na Cdm kama 2010 saiv ni Lowassa tu kila sehem