Tumefanya takribani mikutano 28,operation Tigi tigi inahamia Mkoa wa Geita kabla haijaanza Magu na sehemu zingine za nchi
Tukiidhibiti vizuri Kanda ya ziwa Rais wa Ukawa atashinda saa nne asubuhi.Kiidadi tuna wapiga kura wengi huko kuliko kanda yoyote katika nchi hii.
Waambie vijana salama yao ni kupiga kura kwa wingi na siyo kushabikia tu mikutano bali silaha kubwa waliyo nayo ni kupiga kura siku ya uchaguzi na kulinda kura.
Sababu Chadema ni Mpango wa Mungu kuwaokoa Watanzania!kwa nini mikutano ya chadema watu ujitokeza sana?
Peoplesssssssssssssssssss Powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hongera sana Alphonce Mawazo! Mnafanya kazi ya Mungu na hakika mkimaliza kazi, mtavalishwa taji!
Kwetu mnaenda lini maana hamjaenda tangia M4C ianze sijui kwa nini.
Bukoba Vijijini hamjaenda huko au hamkupendi?
Kazi nzuri sana hongereni
Kweli arusha ni chuo kijana nishida anawapa watu elim ya uraia sana Mungu akubariki mkuu
Hongera kamanda kwa kazi nzuri hakika mambo yakienda hivi ushindi utapatikana mapema sana.
Hujitambui wewe unadhani kufuga ndevu na kufanya mikutano mingi ndiyo kushinda?
Magamba yalivyo na kiwewe tutasikia tena miswada miwili kwa hatj ya dhalura ...thibiti wanaharakati (Alphonse) na tigi tigi operation. Kwa wingi wao bungeni utasikia speaker akiwahoji ....wanaoafiki tuseme ndio....wote watasema ndiooooooooooo...
Yanaudhi.....wanayoyachagua wanaudhi!
ninyi ni watu wa ajabu sana yaani huwa mnaridhishwa na picha tu....sio kila anayehudhuria masikini au kanisani atauona ufalme wa Mungu.
Magamba yalivyo na kiwewe tutasikia tena miswada miwili kwa hatj ya dhalura ...thibiti wanaharakati (Alphonse) na tigi tigi operation. Kwa wingi wao bungeni utasikia speaker akiwahoji ....wanaoafiki tuseme ndio....wote watasema ndiooooooooooo...
Yanaudhi.....wanayoyachagua wanaudhi!
hamtakiwi kutoka huko fuatilieni hoja za Kinana na maigizo yake huko anakozurura kisha musafishe kwa kuelimisha wananchi. Waelezeni wananchi madhara ya kujaza masisiem mengi bungeni wapeni mifano ya kutosha na kwa utulivu . Wapeni mifano ya jinsi sisiem wanavyoburuza halmashauri pindi wapatapo meya na madiwani wengi hili ndilo somo kubwa zaidi
Kwetu mnaenda lini maana hamjaenda tangia M4C ianze sijui kwa nini.
Bukoba Vijijini hamjaenda huko au hamkupendi?