MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Kwani Mizunguko ya Kinana na Nape Kuanzia Mwaka 2013 mpaka sasa imesaidia nn?. Cdm wanacha kujivunia wamepata Mafanikio Mengi sana. Kuna Sehemu nyingi walikuwa hawana Serikali za Mitaa lakini Leo wamepata. Mi nadhani mpaka leo Cdm wamefaidika zaidi Kuliko CCM. Maana CCM imepoteza sana Kondoo wake.
Kamanda unapaswa kuelewa kuwa Kinana na Nape hawapiti kwa wananchi ili kupiga porojo. Bali kukagua utekelezaji wa Ilani ya chama. Ambao umetekelezwa kwa asilimia kubwa. Ndio maana unawaona wakizindua na kushiriki kwenye ujenzi wa miradi ya maendeleo.