Alexandry Nemesi
JF-Expert Member
- Jun 7, 2014
- 1,508
- 590
Mrejesho wake nikuwa CCM wana hofu kupita maelezoNi vizuri mnachofanya, lakini pia ingekuwa ni hekima sana kufanya marejesho ya operation zilizofanywa awali.
Kulikuwa na operations nyingi zilizofanyika huko nyuma, je mrejesho wake ukoje?.
Hapa ni Sengerema kwa Ngereja
Kamanda Mawazo tupo pamoja...
Piga kazi huko sisi tunapiga huku...tutakutana katikati October 2015 tukamilishe kazi ya ukombozi
Mungu akubariki kaka
chonde chonde nendeni bukoba vijijini hawa maccm yamejimiklikisha jimbo
Watu wa kanda ya ziwa hawtaki kudanganywa tena na Cdm kama 2010 saiv ni Lowassa tu kila sehem
Kanda ya ziwa ipi? labda kuna nyingine ya Lumumba na si hii niliyozaliwa na kuishi. Ulintweneki nyanda onhumbhi yaza get e ikune
Hapa ni Sengerema kwa Ngereja