Picha kuonyesha operation TIGI TIGI

Picha kuonyesha operation TIGI TIGI

Alphonce Mawazo kinana na nape licha ya kusomba watu hajawahi pata huo umati hata mara moja

Hongera sana kamanda
 
Last edited by a moderator:
Hongera Saana kamanda Alphonce Mawazo kwa kazi njema ya ukombozi wa pili, ni kweli Bukoba vijijini imesahaulika cjui Kamanda Rwakatare ina mikakati gani kama mwenyekiti wa Mkoa?
 
Hongera Saana kamanda Alphonce Mawazo kwa kazi njema ya ukombozi wa pili, ni kweli Bukoba vijijini imesahaulika cjui Kamanda Rwakatare ina mikakati gani kama mwenyekiti wa Mkoa?

wachaga mnapongezana,kifo chenu mtakiona soon ndo mtajua faida za hizo operation lukuki
 
mngekua na akili hizi operation zingeanzia ndani ya chama hakika mngefaa kupewa dola,hebu anzeni huko kwnza msijidanganye na huo umati
 
Udini ni Sumu kali sana. Na ikianza kuleta madhara basi ni kwa pande zote, hivyo iepuke!

asante kwa kulitambua hilo bila shaka wewe ni mtu muelewa sana,sasa kwa kua umetambua hilo unaonaje ukaanza kulikemea hilo kwa chdm?mana chama kina eneza huo udin na kama hujui ue unaenda kanisan Mara moja moja
 
Kamanda Mawazo naongea na marafiki zangu Kanda ya ziwa kiukweli wana kukubali mno naskia kuna majimbo matatu wanataka uwe Mbunge kwenye majimbo yako
 
M4C, Delete CCM, operation sangara,
...zote hizi zimepita hata hii TIGI TIGI nayo pia itapita...
najua unatafutia wanao riziki ya kila siku kupitia vioperesheni uchwara.

Kwani Mizunguko ya Kinana na Nape Kuanzia Mwaka 2013 mpaka sasa imesaidia nn?. Cdm wanacha kujivunia wamepata Mafanikio Mengi sana. Kuna Sehemu nyingi walikuwa hawana Serikali za Mitaa lakini Leo wamepata. Mi nadhani mpaka leo Cdm wamefaidika zaidi Kuliko CCM. Maana CCM imepoteza sana Kondoo wake.
 
Kwa jinsi mind yako ilivyojaa ukabila akili yako inazunguka kwenye ukabila tu. Ujinga wako na wengine wenye mawazo kama wewe unapanda mbegu mbaya ya ukabila katika nchi hii. Muache uhuni huo kabisa.
 
mngekua na akili hizi operation zingeanzia ndani ya chama hakika mngefaa kupewa dola,hebu anzeni huko kwnza msijidanganye na huo umati

We Mjinga huo Umati Mkubwa ndio uliosaidia Cdm kushinda Chaguzi serikali Za Mitaa. Au unataka na Cdm waanze kuigiza km CCm kuwa tutawafukuza Mawaziri Mizigo na Magamba kumbe Mnaigiza.
 
Back
Top Bottom