Picha: Kijana wa Arusha aolewa na mzungu UK

Judging straight that he is from Africa or Tanzania is a stupid point pf view..we need concrete evidence...source of info links to say a thing about this...he can be African~American...Ecuadorian~Puetorican....BUT whoever he is I'm against this 10000%...disgusting.
 
Msilolijua ni kama usiku wa Giza. Hiyo kitu imekua staged huyo jamaa wa Arusha kamlipa mshikaji wafunge Ndoa fake ili apate Uraia

Pia asiweze kurudishwa Tanzania kwa sababu Tanzania hizo ndoa hazikubaliki

Ingawa kafanya kwa interest zake ila ni Aibu sana kwa Taifa, tusimame pamoja kupinga ndoa za jinsia moja.
Kwanini asingefunga na mwanamke kama ishu ni hivyo? Acha kupotosha
 
Jamaa mfupi kweli bora haolewe.kumbe watu wafupi wengi wao wamekata tamaa na mademu sasa wanaolewa tu.


swissme
 
Kwa nini mseme huyo mweusi ndiye ameolewa na kwa nini isiwe yeye ndiye amemuoa mweupe huyo..?
Pia kuna ushahidi gani kuwa huyo ni mwafrika? Au weusi wote ni waafrika..?

Punguza viroba na bangi,
Vinakupeleka kubaya
 
Ni maudhi kupindukia, kinachoudhi zaidi ni watoto kuwa karibu na mambo yanayoendelea hapo, sijui nikiuwa shoga ni kosa!!? sina zaidi.
 
Back
Top Bottom