benjamin patrick
New Member
- Nov 23, 2015
- 2
- 0
:banghead:
Huyo Jamaa ni mtoto wa Tundu Lisu!
Kwanini asingefunga na mwanamke kama ishu ni hivyo? Acha kupotoshaMsilolijua ni kama usiku wa Giza. Hiyo kitu imekua staged huyo jamaa wa Arusha kamlipa mshikaji wafunge Ndoa fake ili apate Uraia
Pia asiweze kurudishwa Tanzania kwa sababu Tanzania hizo ndoa hazikubaliki
Ingawa kafanya kwa interest zake ila ni Aibu sana kwa Taifa, tusimame pamoja kupinga ndoa za jinsia moja.
wanadai jamaa ni wa arusha
Kwa nini mseme huyo mweusi ndiye ameolewa na kwa nini isiwe yeye ndiye amemuoa mweupe huyo..?
Pia kuna ushahidi gani kuwa huyo ni mwafrika? Au weusi wote ni waafrika..?
Kibao cha namba D ni Ujerumani.