King mkucha
Member
- Oct 14, 2016
- 89
- 70
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naombeni kuwauliza wana JF hivi ujenzi wa hivi viwanja unaanza lini na ni( wapi?) Na vibarua inakuwaje ndugu zangu kupata hata kibarua tupambane kwa mliopo dodoma na Arusha tujuzane wadau