Kweli kabisa....Slaa arudi mujini dsm wakae kinondoni watafakari uamuzi wao dhidi ya zitto. Sio demokrasia kumtimua kiongozi eti kwa kua anaweka mkakati kugombea uenyekiti wa chama kwenye uchaguzi halali.Naomba serikali iingilie kati kusitisha hizi ziara za dr slaa nchini kuepusha uvunjifu wa amani na vurugu.
Mkuu,Bila kupepesa macho wala kutingisha masikio nasema Dr. Slaa amekwenda kuwachokoza watu wa Kigoma. Huu si wakati muafaka wa kwenda Kigoma wakati kijana wao wanamnyanyapaa kwenye Chama. Tutake tusitake Zuberi Zitto Kabwe ana mashiko Kigoma. Natamani nione Zitto akirudi jimboni kwake kuonana na wananchi wake baada ya hili kasheshe. Hakika nakuambia siku Zitto anatia mguu Kigoma, Kigoma itasimama. Ningekuwa Zitto ningeenda Kigoma mara tu baada ya mkutano huu wa Bunge.
Acha kutuletea habari za udini hapa na wewe kila kitu unapenda kuweka mambo ya udini.Acha kutonesha vidonda vya waislam.. Hapo sio Kigoma... Naona Sharif Ritz anakula kibano..
Vijana wa Lumumba at work...usipoteze muda mkuu....Angalia picha ya kwanza kwa makini.. Hapo sio Kigoma.. Ni kuwadhalilisha hao wazee wanao kula kichapo
Vurugu zimeletwa na wananchi waliovurugwa na ccm, ukiangalia walioshika mabango huoni yanasura za kigaidi.Naomba serikali iingilie kati kusitisha hizi ziara za dr slaa nchini kuepusha uvunjifu wa amani na vurugu.
Bora umeishtukia mkuu... hii ilikuwa wakati wa sakata la sheikh ponda...Waislam wa Temeke walijenga kwenye kiwanja chao BAKWATA CCM kama kawaida yao walikuwa tayari wameshachukua fedha za manji... baada ya kuona soo ikabidi wamsingizie sheikh ponda kuwa alisababisha fujo...
Baada ya mkutano wa Slaa Kuvunjia hali ikawa hivi.Polisi wakipambana na wananchi kutuliza Vurugu.
Naomba Mods Picha kama hizi na zile za mabango muziache wananchi wazione kama Mnachanganya basi wekeni kwenye Main post ya mada huzika,sio kuzificha kwenye Comment.Postive and Negative shall be open
you guys ebu andamaneni kudai bei ya umeme ishuke au kodi ya SIM kadi.
Bila kupepesa macho wala kutingisha masikio nasema Dr. Slaa amekwenda kuwachokoza watu wa Kigoma. Huu si wakati muafaka wa kwenda Kigoma wakati kijana wao wanamnyanyapaa kwenye Chama. Tutake tusitake Zuberi Zitto Kabwe ana mashiko Kigoma. Natamani nione Zitto akirudi jimboni kwake kuonana na wananchi wake baada ya hili kasheshe. Hakika nakuambia siku Zitto anatia mguu Kigoma, Kigoma itasimama. Ningekuwa Zitto ningeenda Kigoma mara tu baada ya mkutano huu wa Bunge.
Chadema lakuvunda halina ubani kazi inaendelea.
Acha kutuletea habari za udini hapa na wewe kila kitu unapenda kuweka mambo ya udini.