PICHA inaongea mengi

Nawe ni mmoja wa "wajinga", au "waumbavu"?
Mimi ninakuweka kwa hao waumbavu.
 
2025 mwaka wa uchaguzi, unamshughulisha sana SSH kuliko hata ulivyomshughulisha JPM mwaka 2015 na 2020.
"Uchaguzi gani "unamshughulisha sana SSH...". Huo wa Oktoba ambao tayari amekwisha shinda; au kuna uchaguzi gani mwingine?
Kama kuna mwingine, mwambie asijihangaishe; hana nafasi yoyote ya kushinda kura zikiigwa na kuhesabiwa kwa HAKI.
 
HUYU MAZA HATETEKI NA MUNGU KESHAKAA. HATOBOI
 
Hizo ibada zinafanyikia kwenye eneo Gwani..!?Unafaham historia ya eneo Hilo!? Au nikuache mifano Tena zidumu fikra za mwenyekiti.
Napajua pale mahali tangu mwaka 1978, naijua kawe tangu ikiwa ni mashamba ya watu.

Serikali kwa maana ya Rais ndiye mmiliki wa ardhi yote ya Tanzania kumbuka hilo.
 
"Uchaguzi gani "unamshughulisha sana SSH...". Huo wa Oktoba ambao tayari amekwisha shinda; au kuna uchaguzi gani mwingine?
Kama kuna mwingine, mwambie asijihangaishe; hana nafasi yoyote ya kushinda kura zikiigwa na kuhesabiwa kwa HAKI.
Kwako wewe ameshashindwa lakini kwa mamilioni ya watu wenye kuelewa anachokifanya, watampa kura nyingi sana.
 
Napajua pale mahali tangu mwaka 1978, naijua kawe tangu ikiwa ni mashamba ya watu.

Serikali kwa maana ya Rais ndiye mmiliki wa ardhi yote ya Tanzania kumbuka hilo.
Kwa hiyo, kwa kuzingatia uzoefu wako, je ni sahihi eneo lenye uwezo mkubwa wa maendeleo kama lile kutumika kwa shughuli za aina hiyo? Kwa nini asitafutiwe eneo jingine, ilhali Rais ndiye msimamizi mkuu wa ardhi katika nchi hii?
 
Kwa hiyo, kwa kuzingatia uzoefu wako, je ni sahihi eneo lenye uwezo mkubwa wa maendeleo kama lile kutumika kwa shughuli za aina hiyo? Kwa nini asitafutiwe eneo jingine, ilhali Rais ndiye msimamizi mkuu wa ardhi katika nchi hii?
Swali zuri lakini anayeweza kulijibu ni mamlaka za kiserikali. Waziri wa Ardhi yupo kwenye nafasi nzuri ya kulijibu kwa kirefu.
 
Kwako wewe ameshashindwa lakini kwa mamilioni ya watu wenye kuelewa anachokifanya, watampa kura nyingi sana.
Tunarudia yaleyale kama siku zote maana uelewa wako ni mgumu.
Kamwambie taratibu za uchaguzi huru zianzishwe mara moja kwa vile anao uhakika wa mamilioni **** kura yeye!
Hata huoni aibu kurudia mambo ambayo unajuwa hayao?
 
Tunarudia yaleyale kama siku zote maana uelewa wako ni mgumu.
Kamwambie taratibu za uchaguzi huru zianzishwe mara moja kwa vile anao uhakika wa mamilioni **** kura yeye!
Hata huoni aibu kurudia mambo ambayo unajuwa hayao?
Samia tunatiki October 2025.
 
Hicho ni kikundi kilichotumia vizuri msemo wa "MJINI NJOO NA AKILI TU, PESA UTAZIKUTA"
 
Muda utaongea mkuu Kalamu.
Muda unaousubiri ni wa kuiba uchaguzi ili Samia na GENGE lenu libaki madarakani bila ridhaa ya wananchi.

Kama unataka "muda uongee", kubalini marekebisho ya kanuni za uchaguzi. Samia akichaguliwa kwa taratibu hizo, mimi nitakuwa mstari wa mbele kabisa kumongeza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…