PICHA: huyu ni rais wa wapi!!

PICHA: huyu ni rais wa wapi!!

Huyu Raisi asilimia 90 ya mshahara Wake anatoa kama msaada (Charitable causes) Mshahara Wake ni dola 12500 kwa mwezi ukitoa 90% anabakia na 1250.
 
Uwe Unasoma Vizuri Uzi Wangu Na Kuelewa Kwani Sitaki Nikudharau Na Wewe Halafu Uanze Kuchukia. Nimesema Vizuri Tu Kuwa Anatoka Ktk Hizo Nchi Mbili Tajwa Hapo au Narudia Tena au Nchi Za Far East. Sasa Ni Wapi Nimesema Uruguay Na Paraguay Zipo Far East? au Unataka Tu Kuchukua Points ( Kupata KIKI ) Kwangu?

anakurekebisha unakuwa mkali wakat hujui........ Kwan ungeshukur au kukaa kimya ungepungukiwa nn?
 
Huyo simjui mie namjuwa mwengine kapora mke wa mtu kamjengea, kwa fedha zetu za kodi alizokopa saccos ya Ufipa, jumba la kifahari huko mabwepande lakini jimama halitosheki kwa nyumba tu linahamu na unyumba, juzi likamwingiza the body guard kwenye majaribu, matokeo unayajuwa.

samahan mkuu FaizaFoxy unaweza kutufafanulia kidogo huyo jamaa aliyemjengea jimama mabwepande na huyo aliyempeleka kimada dubai?
 
Last edited by a moderator:
Kilinganishe Na Kile Ulichoniandikia Wewe Je Kina Shabihiana? Mimi Nilitaja Uruguay Na Uruguay Kama Ulivyoniandikia Wewe? Na kuhusiana Na Kutaja Kwangu Far East Sidhani Kama Nilikuwa Nazilinganisha Hizo Nchi Na Sina Ujinga au Upumbavu Huo Wa Kutokujua Wapi Zilipo Uruguay Na Paraguay Na Far East Kuna Nchi Gani Na Nilishalielezea Hili Vizuri Kwa Mtu Hapo Juu Na Nashangaa Bado Mnalishikilia Sasa Sijui Mnataka Nini.

sasa kama unazijua zilipo hizo nchi sasa far east umeiandika ya nn? Ww lazma utakuwa zao la Mulugo
 
Huyo mzee Hose Mujica Aliwahi kuwa President wa Uruguay March 1, 2010 – March 1, 2015 alipoangushwa kwenye kura, sasa hivi, kuanzia 1 March 2015 Rais wa Uruguay ni huyu:



Kwa jina anaitwa Tabara Vazquez ambae pia aliwahi kuwa Rais kati ya mwaka 2005 - 2010

Thibitisha unayoyasema! Pepe ni raisi bado!
 
Huyu angekuwa raisi wa tanzania tungefika mbali sana.
 
Sijawahi kusikia kama alikuja Tanzania au Rais wetu alienda huko kwa ziara za Kiserikali au kikazi.

Baba MwanaAsha anakwenda nchi ambazo anaweza kutembeza bakuli sasa huko kwa Mujica angeambulia nini? Mujica angemshauri ahalalishe uuzaji wa ganja kama alikuwa na shida ya forex!!!
 
samahan mkuu FaizaFoxy unaweza kutufafanulia kidogo huyo jamaa aliyemjengea jimama mabwepande na huyo aliyempeleka kimada dubai?

Hapo nilipoishia inatosha kabisa, kwa mwenye kuelewa ameshaelewa na asiyeelewa maana haambiwi maana.
 
Uwe Unasoma Vizuri Uzi Wangu Na Kuelewa Kwani Sitaki Nikudharau Na Wewe Halafu Uanze Kuchukia. Nimesema Vizuri Tu Kuwa Anatoka Ktk Hizo Nchi Mbili Tajwa Hapo au Narudia Tena au Nchi Za Far East. Sasa Ni Wapi Nimesema Uruguay Na Paraguay Zipo Far East? au Unataka Tu Kuchukua Points ( Kupata KIKI ) Kwangu?

Mkaushie mkuu,huyo ni rais wa Suarez
 
Baba MwanaAsha anakwenda nchi ambazo anaweza kutembeza bakuli sasa huko kwa Mujica angeambulia nini? Mujica angemshauri ahalalishe uuzaji wa ganja kama alikuwa na shida ya forex!!!

Hilo nalo neno, hata Mbowe akihutubia huwa zinatembezwa bakuli na ganja haiachwi kuuzwa pale kwenye biashara yake Bilicanas.

Na akija huja na mashangingi yanaongozana. Umesahau?

Wajinga Ndiyo Waliwao.
 
Hilo nalo neno, hata Mbowe akihutubia huwa zinatembezwa bakuli na ganja haiachwi kuuzwa pale kwenye biashara yake Bilicanas.

Na akija huja na mashangingi yanaongozana. Umesahau?

Wajinga Ndiyo Waliwao.

Personal attacks hizo,halafu sio za kweli...

Bimkubwa angalia credibility yako,unaigaragaza aisee...uwe una attack hoja basi
 
Wakiweka bembea watapata ugeni.

Hivi hamjamwona huyo jogoo kwenye hio picha wadau? Kanona sana huyo jogoo sijui atakua aina gani nipate mbegu.
 
Horacio Manuel Cartes Jara (born 5 July 1956[SUP][1][/SUP]) is a Paraguayan businessman andParaguay's president, elected as of the April 2013 elections, since 15 August 2013. He is a member of the Colorado Party.

220px-Horacio_Cartes_con_banda.jpg
 
José Alberto "Pepe" Mujica Cordano (<small>Spanish pronunciation: </small>[xo&#712;se mu&#712;xika]; born 20 May 1935) is a Uruguayan politician who wasPresident of Uruguay between 2010 and 2015. A former urban guerrilla fighter with theTupamaros, he was imprisoned for 13 years during the military dictatorship in the 1970s and 1980s. A member of the Broad Front coalition of left-wing parties, Mujica was Minister of Livestock, Agriculture, and Fisheries from 2005 to 2008 and a Senator afterwards. As the candidate of the Broad Front, he won the 2009 presidential election and took office as President on 1 March 2010.

He has been described as "the world's 'humblest' president", due to his austere lifestyle and his donation of around 90 percent of his $12,000 (£7,500) monthly salary to charities that benefit poor people and small entrepreneurs.

220px-Pepemujica2.jpg
 
Back
Top Bottom