PICHA: huyu ni rais wa wapi!!

PICHA: huyu ni rais wa wapi!!

sasa kama unazijua zilipo hizo nchi sasa far east umeiandika ya nn? Ww lazma utakuwa zao la Mulugo

Sasa Kama Unajua Mimi Ni Zao La Mulugo Unachohangaika Na Mimi Ni Nini? Watu Mliozoea Kushikishwa UKUTA Na KUPUMULIWA Mna Matatizo.
 
huyo mzee hose mujica aliwahi kuwa president wa uruguay march 1, 2010 – march 1, 2015 alipoangushwa kwenye kura, sasa hivi, kuanzia 1 march 2015 rais wa uruguay ni huyu:



kwa jina anaitwa tabara vazquez ambae pia aliwahi kuwa rais kati ya mwaka 2005 - 2010

aiyaaa ckujua kama mzee mujica wameshambwagasha,
si walisema ndio rais anaependwa na wanchi wake zaidi duniani?
 
aiyaaa ckujua kama mzee mujica wameshambwagasha,
si walisema ndio rais anaependwa na wanchi wake zaidi duniani?

mkuu naona alikuwa anapendwa na wasio wapiga kura...
 
Kilinganishe Na Kile Ulichoniandikia Wewe Je Kina Shabihiana? Mimi Nilitaja Uruguay Na Uruguay Kama Ulivyoniandikia Wewe? Na kuhusiana Na Kutaja Kwangu Far East Sidhani Kama Nilikuwa Nazilinganisha Hizo Nchi Na Sina Ujinga au Upumbavu Huo Wa Kutokujua Wapi Zilipo Uruguay Na Paraguay Na Far East Kuna Nchi Gani Na Nilishalielezea Hili Vizuri Kwa Mtu Hapo Juu Na Nashangaa Bado Mnalishikilia Sasa Sijui Mnataka Nini.
Sasa mkuu ulipozitaja hizo nchi haukuwa na uhakika kwamba huyo ni rais wa nchi ipi hasa.... Then akaja mchangiaji mwingine akakutajia kwa uhakika kwamba huyo mheshimiwa ni rais wa Uruguay... Sasa kulikuwa kuna sababu gani ya kumshambulia ili tu aonekane yeye hajui ila weye ndo wajua?? hakukuwa na sababu ya kumsuta hivyo Kama wewe kweli ni muungwana
 
Back
Top Bottom