PICHA: huyu ni rais wa wapi!!

PICHA: huyu ni rais wa wapi!!

Aliwahi kuwa President wa Uruguay mpaka juzi juzi alipoangushwa kwenye kura, sasa hivi, kuanzia 1 March 2015 Rais wa Uruguay ni huyu:


Kwa jina anaitwa Tabara Vazquez ambae pia aliwahi kuwa Rais kati ya mwaka 2005 - 2010

sikujua kuwa alishaondolewa madarakani...na vipi huyu aliyepo sasa naye ni masikini?niliuliza kama president toka TZ aliwahi kutembelea huko na vipi aliwahi kuja TZ
 
Bomba sana na hao akina magufuli na mwakyembe wake wanausafiri gani

TOYOTA_LAND_CRUISER_VX-R_8_Seater_4_5L_TURBO_DIESEL2.jpg
 
sikujua kuwa alishaondolewa madarakani...na vipi huyu aliyepo sasa naye ni masikini?niliuliza kama president toka TZ aliwahi kutembelea huko na vipi aliwahi kuja TZ

Sijawahi kusikia kama alikuja Tanzania au Rais wetu alienda huko kwa ziara za Kiserikali au kikazi.
 
Sijawahi kusikia kama alikuja Tanzania au Rais wetu alienda huko kwa ziara za Kiserikali au kikazi.

ningependa anayechukua nafasi yake awe kama yeye...asiyependa makuu wala mfuja mali ya umma!
 
mkuu hebu nawewe nijulishe kuhusu consumption ya mafuta kati ya hizo gari mbili!usisahau na spare parts!

Mambo ya V8 na Bito wapi na wapi ... kwa bongo bito hakuna kwa sasa ziko new model chache lakini muonekani wa V8 na bito ya kizamani
 
Nadhani Ni Paraguay au Uruguay ILA Ninachotambua Ni Rais Asiyependa Utajiri Wala Ufahari Na Anaishi Maisha Ya Kawaida Na Ya Chini Sana. Nadhani Ni Hizo Nchi Mbili Tajwa Hapo au Nchi Za Far East. Naikumbuka Sana Hiyo Sura Kuwahi Kuiona Ktk Media.

Mkuu navyojua ukitaja far east unajumuisha China.
 
Last edited by a moderator:
ningependa anayechukua nafasi yake awe kama yeye...asiyependa makuu wala mfuja mali ya umma!

Kama yule mwenyekiti wa upinzani aliyemkatisha hawara yake safari ya kibunge akaenda nae kufuja mali Dubai.
 
Nadhani Ni Paraguay au Uruguay ILA Ninachotambua Ni Rais Asiyependa Utajiri Wala Ufahari Na Anaishi Maisha Ya Kawaida Na Ya Chini Sana. Nadhani Ni Hizo Nchi Mbili Tajwa Hapo au Nchi Za Far East. Naikumbuka Sana Hiyo Sura Kuwahi Kuiona Ktk Media.

Ni Uruguay na Uruguay haipo Far East.
 
Back
Top Bottom