Ibrahim augustine
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 428
- 575
- Thread starter
- #41
Sija oa bado nikikwambia miaka yangu huwezi amini Nina miaka 17mleta mada mlete mke wako pia tumjadili hapa.
Sija oa bado nikikwambia miaka yangu huwezi amini Nina miaka 17mleta mada mlete mke wako pia tumjadili hapa.
Wewe umesema kile nafsi yangu inaniambiaanaonekana mwanamke wa visasi,ilimaisha yaendelee A.Kiba inabidi awe wa kushuka chini mara zote na kunyenyekea vinginevyo ndani ya miezi mitatu ya mwazo .......................
Kaoa jini
Hahahaa. Ngoja nimuangalie vyema na mie.Mtizame vizuri usoni
Usikihukumu kitabu kwa kutizama cover lake la juu tu.Roho inaniambia demu ni katili huyu
Kuna watu km wanne humu tumeliona hiloHahahaa. Ngoja nimuangalie vyema na mie.
Basi acha kujadili wake wa kaka zakoSija oa bado nikikwambia miaka yangu huwezi amini Nina miaka 17
SawaUsikihukumu kitabu kwa kutizama cover lake la juu tu.
Hahahaaa. Ndio.Hahah!!
Kumbe upo humu?
Kiba kaoa mwanamke aliyevutiwa naye yeye kama yeye,hakuoa ili wewe uvutiwe naye.Mbona hata ' House girl ' wangu tu ' Kemmy ' amemzidi mbali sana? Ali Kiba ameniangusha sana yaani ' Kaoa ' Mwanamke wa kawaida mno asiye na mvuto wowote. Ni matumaini yangu Fundi / Mtalaam Nasib Abdul ( Diamond ) hatorudia huu ' Upuuzi ' wa Kuoa Mke mbaya kama alioufanya Ali Kiba. Kuanzia leo nimemvua ' Taji ' Kiba na sasa namvalisha Diamond.
Mimi mzima,kwema mkuu? karibu tuunge urafiki.Sawa
Hujambo
Mkuu huu uchambuzi wako umekaa kimahaba zaidiMbona hata ' House girl ' wangu tu ' Kemmy ' amemzidi mbali sana? Ali Kiba ameniangusha sana yaani ' Kaoa ' Mwanamke wa kawaida mno asiye na mvuto wowote. Ni matumaini yangu Fundi / Mtalaam Nasib Abdul ( Diamond ) hatorudia huu ' Upuuzi ' wa Kuoa Mke mbaya kama alioufanya Ali Kiba. Kuanzia leo nimemvua ' Taji ' Kiba na sasa namvalisha Diamond.
Tunauungaje?? Nitumie picha yako nikwambie roho yako ilivyoMimi mzima,kwema mkuu? karibu tuunge urafiki.
Hahaaa. Natumai muda utaongea kama hiki mlichokiona kitakuwepo.Kuna watu km wanne humu tumeliona hilo
Diamond mbona alishatia sign hapo mudaa. Hajaweka ndani tuMbona hata ' House girl ' wangu tu ' Kemmy ' amemzidi mbali sana? Ali Kiba ameniangusha sana yaani ' Kaoa ' Mwanamke wa kawaida mno asiye na mvuto wowote. Ni matumaini yangu Fundi / Mtalaam Nasib Abdul ( Diamond ) hatorudia huu ' Upuuzi ' wa Kuoa Mke mbaya kama alioufanya Ali Kiba. Kuanzia leo nimemvua ' Taji ' Kiba na sasa namvalisha Diamond.