Picha: Huyu ndiye Melki the Storyteller

Picha: Huyu ndiye Melki the Storyteller

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,328
Reaction score
11,463
Habari za wakati huu wana JF wote. Niliwakumbuka sana kwa kweli. Shukhrani za dhati ziwafikie nyote mlioniombea katika safari yangu nzima ya maradhi. Kwa sasa naendelea vizuri tu na kamwili kanarejea upya

Wengi wenu mlifikiri huenda The Storyteller wenu ni jibaba bonge bonge hivi lenye mashavu yaliyotuta, jeusi ti lenye kuvaa miwani myeupe, mabwanga na mashati mapana ya draft yenye vifungo.

Jibaba linalovalia mikanda minene ya ngozi ya mamba, kwenye luksi nikining'iniza funguo ya mjengo huku kidoleni nikinin'giniza funguo ya Vogi. Jibaba lenye sauti nzito na meno yenye rangi ya kahawia huku lips za mdomo wangu zikiambwa kwa usugu wa matumizi ya tumbaku.

Huo muonekano niliupata baada ya kuunganisha mawazo ya wanawake wawili mashuhuri, members wa humu katika harakati za tongoza tongoza
====================

Huyu ndiye The Storyteller wa JF a.k.a Wamatukio, izobiz, man biznes, karan lutha na mengineyo mengi.

_34e0e41e-0d22-4c64-a4ad-a70903df0f53.jpeg


Nipende kutoa shukhrani zangu za dhati kwenye shirika linalojihusisha na suala zima la utengenezaji wa picha kwa kutumia akili bandia (Artificial Intelligence), kwa kweli wamejua kuutengeneza uhalisia wangu although nilijielezea vya kutosha

Bado ni kijana mdogo sana mpambanaji ingawa ninateswa sana na mapenzi. Sitaki kujieleza sana msije kusema ninajipamba. Sio mtu wa kujionesha, sio mtu wa masuti suti ingawa pesa za kunywea ziko kwa mfuko

N.B: Photo by Artificial Intelligence

Kwa sasa afya yangu inaendelea kutengamaa

Uliza Chochote Utajibiwa...
 
Wanakuja Kwa speed ya 5G hakikisha kibunda si kama umeme WA tanesco .
Mi na wanawake wapiga vibomu mbalimbali, labda tuandikishane mkataba. Kuna huyo mmoja nilikuwa namlipa 30k per week, ananipa mbususu mara mbili kwa wiki. Hatukuwa na mambo ya bebi bebisha, ila kwenye mizagamuano nilikuwa namuandaa

Kwangu mie hata itokee mwanamke akalia mlio wa mahaba wa wizi wizi, genye huwa zinakata kabisa
 
PM itajaa Leo
Awapi, wanawake wa zama hizi hata awe amekupenda vipi hawezi kukufuata kukuchana ukweli. Akijitahidi sana atakupatia namba zake ukamrushie kifurushi ukiwa unaelekea kwa wakala akiwa na maana ya "jiongeze kaka mkubwa, mkuyenge umepewa bure"
 
PM haiwezi kujaa, jamaa hana hata ka Passo ka kuzugia, pm itajazwa na nini?
Sio kwamba nakosa ka 16m ka kununua kigari cha kimaskini i.e Kijora. Ni kwa vile tu napendelea ule mbanano wa kwenye magari mabovu ya Mbagala rangi tatu

Zile raha naziachaje? Hasa hasa kwenye mabonde huku Mwajuma Nchokonole akiwa mbele yangu!!?
 
Hana Hela,ana maneno mingi. PM itajaaje?
Hapana mkuu, pesa za kuweka kwenye vimbao ninazo. Ni kwa vile tu sitaki kujikweza. Napenda sana maisha ya ujima. Hata kuishi, napendelea sana kuishi kwenye kijumba cha makuti, naipenda sana asili yangu. Sema ni kwa vile naogopa tu macho ya watu
 
Back
Top Bottom