Tareek Azeez
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 14,399
- 35,896
Bonge la jemba kama Bonobo likajifanya Roselyn.
Sijui Kama wandewa hawakukutumia Uboo kweli.
Sijui Kama wandewa hawakukutumia Uboo kweli.
Speed ya kupukutisha ata Mia mbovu iliyotelekezwa kwenye droo 🥴Unamaanisha kwa speed ya Simba?!
Ana ulisi? HahaaKwahyo huyu stoli tela ni karakana ya shetani[emoji2960]
[emoji1787][emoji1787]Nimefurahi kukufaham mkuu na leo ndo nimejua Waafrika waliozaliwa weupe kumbe ni kwasababu rangi nyeusi iliishia kwako?
😄 Hata sioLazima utakua mlamba lips
1. Nini faida za mwenge wa uhuru?Uliza Chochote Utajibiwa...
Kumbe na wewe ni moja kati ya madungadunga mkuu [emoji3]Sio kwamba nakosa ka 16m ka kununua kigari cha kimaskini i.e Kijora. Ni kwa vile tu napendelea ule mbanano wa kwenye magari mabovu ya Mbagala rangi tatu
Zile raha naziachaje? Hasa hasa kwenye mabonde huku Mwajuma Nchokonole akiwa mbele yangu!!?
Haaapaaana! Ni kwa vile tu mimi huwa na bahati ya kususiwa mtrako pale niliposimama. Huwa nashangaa tu mzigo huu hapa. Nashindwa cha kufanya, naona tu wacha niegeshe dibolo tu walau lifanye zoezi. Si unajua tena mazoezi hujenga mwili?😄😄Kumbe na wewe ni moja kati ya madungadunga mkuu [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimefurahi kukufaham mkuu na leo ndo nimejua Waafrika waliozaliwa weupe kumbe ni kwasababu rangi nyeusi iliishia kwako?
Dah! Mkuu, mimi nilispecify kwenye Chemistry na Biology. Haya mambo ya siasa simo kabisaa. Hata habari za kuuzwa kwa wana Dar es salaam ndo nimezipata jana usiku. Lakini kwa sasa, hata hiyo Chem na Bio haipo tena kwa kichwa maake haikunisaidia chochote kitu1. Nini faida za mwenge wa uhuru?
2. Nini ambacho Kenya na Rwanda wanakikosa kwa kutokimbiza mwenge?
3. Kama mwenge unaleta amani, kwanini tulipovamiwa na NDULI IDD AMIN tulipeleka jeshi na hatukuupeleka mwenge ili utupatie ardhi tuliyovamiwa kwa amani bila kumwaga damu?
😄😄😄Hapana mkuu. Hakuna kitu ambacho ninakilinda kwa akili yangu yote, kwa moyo wangu wote na kwa nguvu zangu zote kama ndogoBonge la jemba kama Bonobo likajifanya Roselyn.
Sijui Kama wandewa hawakukutumia Uboo kweli.
😄😄😄 Pamoja sana Kaka MkubwaNimefurahi kukufaham mkuu na leo ndo nimejua Waafrika waliozaliwa weupe kumbe ni kwasababu rangi nyeusi iliishia kwako?
Utakuwa umeanza wewe kwenda hukoSi wanapendaga weusi na warefu hawa ndugu zangu wa kike...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji119] daah et bahatiHaaapaaana! Ni kwa vile tu mimi huwa na bahati ya kususiwa mtrako pale niliposimama. Huwa nashangaa tu mzigo huu hapa. Nashindwa cha kufanya, naona tu wacha niegeshe dibolo tu walau lifanye zoezi. Si unajua tena mazoezi hujenga mwili?[emoji1][emoji1]