dah, ...hiyo ni nchi inayouza mamilioni ya mapipa ya crude oil kila siku ... serikali zetu za kiafrika hovyo kabisa
Ila ktk picha ya kwanza you can tell from her face, she's really touched.View attachment 324116 View attachment 324117 View attachment 324118 View attachment 324119 View attachment 324120 View attachment 324122
Picha hii imepigwa Nigeria,mtoto akiwa amedhoofu kwa kukosa lishe bora,inasemwa Dada huyu Raia wa Denmark alijitolea kumchukua mtoto na kumuogesha,kumpatia lishe na matibabu.Na sasa mtoto kaanza kupata tabasamu na siha njema
Aisee. ..
Inahuzunisha sana
Ungekutana Nae We, Ungeweza Kumsaidia Kma Alivyofanya Huyo Mama??Jaman katoto kame dhoofu....,
Miss you too my lov.Hi mum.. upo, miss you bad!
kawabie wachungaji hiliUkisikia sadaka ambazo zinamgusa Mungu aliko ni kama hizi, mahekalu tunayoshindana kujenga hayana maana yo yote kama kuna majirani wanaokufa njaa karibu yetu.
kawabie wachungaji hili