Picha hii ya Lema imenifikirisha sana!

Picha hii ya Lema imenifikirisha sana!

......
Jambo jingine nimejiuliza kama washtakiwa huwa wana faragha ama hawana wanapoongea na Mawakili wao wakiwa Kizimbani. Maana kwa namna yoyote hii picha inaonesha kwamba 1. Askari huyo anasikiliza kwa makini sana kinachoongelewa kati ya Lema na wakili wake. Ili iweje?

Lakini pia Lema anaheshimiwa hata na watesi wake. Pamoja na kumsema vibaya na kujaribu kumdhalilisha. 2. Lema analindwa na Askari Magereza mwenye cha Nyota moja. Maana yake hata hao wanaomchukia Lema wanaijua hadhi yake! Lakini siye akina yakhe huwa tukiingizwa Mahabusu ni lazima siku hiyo hiyo tunyolewa nywele. Walisahau kumnyoa nywele Lema ama ni heshima waliyo nayo kwake?

matukio yote mawili siyo mazuri:
1. Umakini wa Askari, inaonyesha Mh. Lema ahamini kama mahabusu, na Askari analazimika kuwa makini zaidi asije 'akamtoroka'. Ndiyo askari anasikiliza kama Mh. Lema anaweza akawa anaagiza kama ya DrugLord wa Mexico (ni samehe kwa mfano huu lengo ni kutaka kuhakikisha mnaelewa ninachokimaanisha), kumtorosha mahabusu. Huwezi kumlaumu askari katika mazingira haya. Kukosa kuaminiwa hasa kwa vyombo vya usalama si jambo zuri wala la kujisifia.

2.Bado hii inampunguzia Mh. Lema sifa muhimu ya kuaminika kama raia mtiisheria bila shuruti. unajua huyo askari nyota kaipataje? Jibu ni baada ya kukidhi vigezo muhimu sana vya kudhibiti mahabusu ama wafungwa. Sasa kama jeshi la Magereza linalazimiaka kutumia rasilimali watu muhimu kabisa walioiva, maana yake kuna shida mahali. Si vyema kujisifia mambo yanayotupunguzia sifa.

NOTE: Wewe Allen Kilewella na Mimi TUJITEGEMEE, maaelezo yetu juu ya hiyo picha hayana mashiko, hivyo hayatakiwi kutiliwa maani. Sababu kati yetu, hakuna anayejua askari yule anawaza nini, wala hatuji Mh. Lema alikuwa anawaza nini, na mkuu wa magereza aliyempanga huyo askari wa nyota alikuwa anawaza nini! Tusitumie maelezo yetu haya ku'justify' jambo lolote. Kikubwa tuombe wahusika wahakikishe haki inatendeka, na Mh. Lema arudishiwe uhuru wake kwa utaratibu sahihi unaojali haki na utu.
 
Picha imekufkirisha?
View attachment 448558
Ule msemo maarufu duniani kwamba "Picha huongea maneno elfu"`umenifanya niiangalie picha ya Lema huku nikifikiria Propaganda za kisiasa zinazopigwa dhidi yake na wanaomchukia. Kwanza kwenye picha hii Lema anaonekana yupo Imara zaidi tofauti kabisa na kabla ya kuingia Mahabusu.Ukimwangalia kwa makini kama wapinzani wake walidhania kumweka mahabusu wanaweza kumjaza hofu basi watakuwa walikosea sana. Lema anaonekana hana hofu kabisa na ana utimamu wa akili.

Jambo jingine nimejiuliza kama washtakiwa huwa wana faragha ama hawana wanapoongea na Mawakili wao wakiwa Kizimbani. Maana kwa namna yoyote hii picha inaonesha kwamba Askari huyo anasikiliza kwa makini sana kinachoongelewa kati ya Lema na wakili wake. Ili iweje?

Lakini pia Lema anaheshimiwa hata na watesi wake. Pamoja na kumsema vibaya na kujaribu kumdhalilisha. Lema analindwa na Askari Magereza mwenye cha Nyota moja. Maana yake hata hao wanaomchukia Lema wanaijua hadhi yake! Lakini siye akina yakhe huwa tukiingizwa Mahabusu ni lazima siku hiyo hiyo tunyolewa nywele. Walisahau kumnyoa nywele Lema ama ni heshima waliyo nayo kwake?
 
Mkuu pamoja na kusema yote hayo lakini bado hakupunguzi adha za Binadamu kuwa Rumande au Gerezani. Nakuhakikishia kuwa Wewe unaweza labda ukawa unamwona Mheshimiwa Lema yupo ngangari ila nikuambie tu kuna uwezekano mkubwa tu moyoni mwake anaumia mno tena kwa mengi ila anajikaza tu kwa nadharia yao ya Ukamanda.

Kama Wewe unaona Mheshimiwa Lema huko alipo sijui rumande au gerezani anapata raha inayompelekea kutokuwa na hofu basi kaombe kubadilishana nae yeye atoke halafu Wewe ukae huko hata kwa siku tatu ( 3 ) kisha uje utupe mrejesho wako humu.

Namkubali sana Mbunge Lema ila akae akijua kuwa Siku zote sikio halizidi Kichwa na kama ile Kauli tunayoambiwa aliongea jana Mbunge mwenzie Kiukamanda Nassari kuwa yoyote anayepinga yanayofanywa na Serikali ya Rais Dkt. Magufuli ni taahira na akapimwe akili ni ya kweli basi Mheshimiwa Mbunge Lema amejitakia mwenyewe na inabidi tu sasa awe mpole.

Awamu hii ya Mr. Sulphuric Acid siyo ya Ki sport sport jamani Wanasiasa wa Upinzani hivyo nendeni nae kwa akili mno na mahesabu makali otherwise you will all be doomed.


Mkuu video hyo ebu msikilize vzuri mbunge Nassary. Clip inetengenezwa na ofisi ya waziri Mkuu


Mmmmmmhhh....ngoja nigune kwanza
 

Attachments

Huo ustrongest wake tunataka audhihirishe atapotoka kwa kutoa maono tena na ndoto
 
View attachment 448558
Ule msemo maarufu duniani kwamba "Picha huongea maneno elfu"`umenifanya niiangalie picha ya Lema huku nikifikiria Propaganda za kisiasa zinazopigwa dhidi yake na wanaomchukia. Kwanza kwenye picha hii Lema anaonekana yupo Imara zaidi tofauti kabisa na kabla ya kuingia Mahabusu.Ukimwangalia kwa makini kama wapinzani wake walidhania kumweka mahabusu wanaweza kumjaza hofu basi watakuwa walikosea sana. Lema anaonekana hana hofu kabisa na ana utimamu wa akili.

Jambo jingine nimejiuliza kama washtakiwa huwa wana faragha ama hawana wanapoongea na Mawakili wao wakiwa Kizimbani. Maana kwa namna yoyote hii picha inaonesha kwamba Askari huyo anasikiliza kwa makini sana kinachoongelewa kati ya Lema na wakili wake. Ili iweje?

Lakini pia Lema anaheshimiwa hata na watesi wake. Pamoja na kumsema vibaya na kujaribu kumdhalilisha. Lema analindwa na Askari Magereza mwenye cha Nyota moja. Maana yake hata hao wanaomchukia Lema wanaijua hadhi yake! Lakini siye akina yakhe huwa tukiingizwa Mahabusu ni lazima siku hiyo hiyo tunyolewa nywele. Walisahau kumnyoa nywele Lema ama ni heshima waliyo nayo kwake?
Amekonda, hajakonda?
 
Mkuu video hyo ebu msikilize vzuri mbunge Nassary. Clip inetengenezwa na ofisi ya waziri Mkuu


Mmmmmmhhh....ngoja nigune kwanza
Thank youuuuuuuuuuu.
"Ni kiongozi mjinga tu ambae atakataa kushirikiana na kiongozi mwenzake kwasababu ya tofauti ya vyama vya kisiasa"
Neno Kiongozi Mjinga hapo linaweza likatumika kwa kiongozi wa chama chochote cha kisiasa ambae atakataa kushirikiana na mwenzake kwasababu ya tofauti ya vyama vya kisiasa
 
Thank youuuuuuuuuuu.
"Ni kiongozi mjinga tu ambae atakataa kushirikiana na kiongozi mwenzake kwasababu ya tofauti ya vyama vya kisiasa"
Neno Kiongozi Mjinga hapo linaweza likatumika kwa kiongozi wa chama chochote cha kisiasa ambae atakataa kushirikiana na mwenzake kwasababu ya tofauti ya vyama vya kisiasa


Kabisa Mkuu wangu na viongozi wengi wanaokataa kushirikiana na viongozi wenzao kisa tofauti za vyama vyao vya siasa wanajulikana wazi..
 
View attachment 448558
Ule msemo maarufu duniani kwamba "Picha huongea maneno elfu"`umenifanya niiangalie picha ya Lema huku nikifikiria Propaganda za kisiasa zinazopigwa dhidi yake na wanaomchukia. Kwanza kwenye picha hii Lema anaonekana yupo Imara zaidi tofauti kabisa na kabla ya kuingia Mahabusu.Ukimwangalia kwa makini kama wapinzani wake walidhania kumweka mahabusu wanaweza kumjaza hofu basi watakuwa walikosea sana. Lema anaonekana hana hofu kabisa na ana utimamu wa akili.

Jambo jingine nimejiuliza kama washtakiwa huwa wana faragha ama hawana wanapoongea na Mawakili wao wakiwa Kizimbani. Maana kwa namna yoyote hii picha inaonesha kwamba Askari huyo anasikiliza kwa makini sana kinachoongelewa kati ya Lema na wakili wake. Ili iweje?

Lakini pia Lema anaheshimiwa hata na watesi wake. Pamoja na kumsema vibaya na kujaribu kumdhalilisha. Lema analindwa na Askari Magereza mwenye cha Nyota moja. Maana yake hata hao wanaomchukia Lema wanaijua hadhi yake! Lakini siye akina yakhe huwa tukiingizwa Mahabusu ni lazima siku hiyo hiyo tunyolewa nywele. Walisahau kumnyoa nywele Lema ama ni heshima waliyo nayo kwake?
Wewe uko huru ndo maana unaongea hayo ...lakini yeye Mwenyewe pigo analopata analijua mwenyewe na watoto wake na wazazi wake na ndugu zake wa tumbo Moja...bora ukae kimya kuliko kuongea madudu kama hayo[emoji188]
 
View attachment 448558
Ule msemo maarufu duniani kwamba "Picha huongea maneno elfu"`umenifanya niiangalie picha ya Lema huku nikifikiria Propaganda za kisiasa zinazopigwa dhidi yake na wanaomchukia. Kwanza kwenye picha hii Lema anaonekana yupo Imara zaidi tofauti kabisa na kabla ya kuingia Mahabusu.Ukimwangalia kwa makini kama wapinzani wake walidhania kumweka mahabusu wanaweza kumjaza hofu basi watakuwa walikosea sana. Lema anaonekana hana hofu kabisa na ana utimamu wa akili.

Jambo jingine nimejiuliza kama washtakiwa huwa wana faragha ama hawana wanapoongea na Mawakili wao wakiwa Kizimbani. Maana kwa namna yoyote hii picha inaonesha kwamba Askari huyo anasikiliza kwa makini sana kinachoongelewa kati ya Lema na wakili wake. Ili iweje?

Lakini pia Lema anaheshimiwa hata na watesi wake. Pamoja na kumsema vibaya na kujaribu kumdhalilisha. Lema analindwa na Askari Magereza mwenye cha Nyota moja. Maana yake hata hao wanaomchukia Lema wanaijua hadhi yake! Lakini siye akina yakhe huwa tukiingizwa Mahabusu ni lazima siku hiyo hiyo tunyolewa nywele. Walisahau kumnyoa nywele Lema ama ni heshima waliyo nayo kwake?
Allen wakati mwingine sijui huwa unarukwa na akili. Umeongea uharo mtupu. Sasa wewe unadhan kuwepo ndani kwa Lema ni kuonewa. Unadhan mawakili hao mpaka leo wanashindwa kumtoa kwa sababu gani. Au hawana uwezo wa kitaaluma. Ni kwa sababu kesi yake ni nzito na hakuna mtu aliyemtuma kusababisha kesi hiyo. Ujinga wake ndio unamfanya anyooshwe adabu. lazima watu wajue hizi sio zama za utani na nchi. Wamejisahau sana. Tunataka ku move kuelekea uchumi wa kati. Hatutaki ushenzi ushenzi kamanda. Tumeshakaa upinzani mpaka tumejiharishia wwnyewe. Hakuna lolote ni usanii mtupu. Watu wanatafuta mkate wao wa kila siku. Pyuuuuuf
 
Ni ajabu sana pale watu wanapojifanya kukufagilia na kukupa matumaini bandia huku ukiwa ktk mateso gerezani,acheni kumdanganye mwenzenu eti upo ngangari wakat amesota gerezani na nyie mpo huru uswahilini
 
Back
Top Bottom