PICHA: Hii gari inapaa acha tu.Wachina hatari

PICHA: Hii gari inapaa acha tu.Wachina hatari

Yule aliyewadharau wanokwenda na passo kwa wakwe sijui akiliona hili atasemaje
 
Zipae kwani ni ndege??? Apart forom vile vigari za mashindano vinaruka juu kwenye miinuko na kushuka chini sijawahi hizo gari za kupaa. Hebu niambie ndio zipi nitoe ushamba
angalia hapa
 
I thought harrier iko juu,au Tiguan inakata mawingu. Kumbe vidude dude vya ajabu kama hivo.
Mi i'm speaking about magari haya haya kina passo,volks wagen.
hayo labda uende chato ndo utayaona
 
Back
Top Bottom