nzalendo
Platinum Member
- May 26, 2009
- 12,889
- 14,596
Naaam ni alfajiri safari inaanza,,,gari ishakula nundu ina ambaa ambaa mitaa ya ''Port access'',,,,siku hizi mnaita Mandela road...chombo inapita mitaa ya Ubungo inakata kushoto,,,,kipindi hicho hakuna double road kama sasa,,,ofcoz na magari hayakuwa mengi kama hivi leo,,,
Naam chuma inainuka maeneo ya Kibo kuitafuta Kimara ...wakati huo minazi minazi na migomba,,,,,mdogo mdogo huku unakula ''bolingo'' muziki wa kiZaire...enzi hizo Zaire...... siku hizi mnaita Congo.... ilikuwa maarufu sana kwa muziki Afrika na nje ya bara la Afrika,,,nasikia hawa jamaa kilichowaangusha ni kukosa discipline(nidhamu).
Safari inazidi kukolea mizani ni kama hakuna ukilinganisha na sasa hivi,,,,,kama waelekea TANZAM road...kituo MIkumi kupata msosi halafu mitaa ya Ruaha tulikuwa na kasumba ya kupata bafu yaani tunaoga mtoni,,,ilikuwa raha sana,,,,,
Ilula ilikuwa ni sehemu ya kulala....na kwa sisi waonjaji tulikuwa tunakunywa komoni,,,nyakati hizo komoni ilikuwa tamu sana ukinywa unashiba,,,,kama ni msimu wa ulanzi pia twagonga,,,hapo tunapata dili kwamba wakati wa kurudi tutapata mizigo ya kupaleka Dar,,,zingatia nyakati hizo mizigo ilikuwa si taabu,,malori yalikuwa machache sana,,,,
Alfajiri safari inaendelea kuna sehemu inaitwa Tanangozi,,,palikuwa maarufu sana kwa nyama choma au supu kwa asubuhi,,,ninasikitika sana kuna kipindi Tanangozi ilikuwa kama mahame(this is another story).
Ngoma inainuka twapanda Ihemi ,,,,ni kigongo kisicho onekana kwa macho.....mara chap Ifunda hii hapa kama wataka kutoa lock haya...kama wataka kupofoa yote kheri tu.......Mafinga,,,,n.k n.k.
Chap kwa haraka Igurusi kigiza giza twa egesha kupata Ufyetere kidogo,,,kila kichochoro wasikia bolingo,,,,tunapata oda ya kuleta cassetee mpya za bolingo toka Dar...
Asubuhi chuma inainuka Tunduma Nakonde n.k n.k.
Kwa njia ya kati tukisha zunguka Msamvu chuma mdogomdogo yadema....... mawazo yakiwa Chalinze mbuzi,,,baada ya hapo Dodoma Inn
Cheki spring,,,,pakia mizigo ya kutosha vaa nguo za safari,,,,tafuta kampani ya kuongozana,,,,mbele mbele pale baada ya kibao cha PEPSI twaanza piga shimo,,,,
Tafuta miba ning"iniza nyuma piga shimo,,,kituo misigiri,,,,kula ''mtukuru'',,,,asubuhi shuka sekenke,,,mpaka shelui,,,, kula tena ''gongo'' safari yaendelea mpaka Nzega,,,mtafute Said Mgoha ana kila aina ya spana ,,kagua springi safari inaendelea>>>>>>
Naam chuma inainuka maeneo ya Kibo kuitafuta Kimara ...wakati huo minazi minazi na migomba,,,,,mdogo mdogo huku unakula ''bolingo'' muziki wa kiZaire...enzi hizo Zaire...... siku hizi mnaita Congo.... ilikuwa maarufu sana kwa muziki Afrika na nje ya bara la Afrika,,,nasikia hawa jamaa kilichowaangusha ni kukosa discipline(nidhamu).
Safari inazidi kukolea mizani ni kama hakuna ukilinganisha na sasa hivi,,,,,kama waelekea TANZAM road...kituo MIkumi kupata msosi halafu mitaa ya Ruaha tulikuwa na kasumba ya kupata bafu yaani tunaoga mtoni,,,ilikuwa raha sana,,,,,
Ilula ilikuwa ni sehemu ya kulala....na kwa sisi waonjaji tulikuwa tunakunywa komoni,,,nyakati hizo komoni ilikuwa tamu sana ukinywa unashiba,,,,kama ni msimu wa ulanzi pia twagonga,,,hapo tunapata dili kwamba wakati wa kurudi tutapata mizigo ya kupaleka Dar,,,zingatia nyakati hizo mizigo ilikuwa si taabu,,malori yalikuwa machache sana,,,,
Alfajiri safari inaendelea kuna sehemu inaitwa Tanangozi,,,palikuwa maarufu sana kwa nyama choma au supu kwa asubuhi,,,ninasikitika sana kuna kipindi Tanangozi ilikuwa kama mahame(this is another story).
Ngoma inainuka twapanda Ihemi ,,,,ni kigongo kisicho onekana kwa macho.....mara chap Ifunda hii hapa kama wataka kutoa lock haya...kama wataka kupofoa yote kheri tu.......Mafinga,,,,n.k n.k.
Chap kwa haraka Igurusi kigiza giza twa egesha kupata Ufyetere kidogo,,,kila kichochoro wasikia bolingo,,,,tunapata oda ya kuleta cassetee mpya za bolingo toka Dar...
Asubuhi chuma inainuka Tunduma Nakonde n.k n.k.
Kwa njia ya kati tukisha zunguka Msamvu chuma mdogomdogo yadema....... mawazo yakiwa Chalinze mbuzi,,,baada ya hapo Dodoma Inn
Cheki spring,,,,pakia mizigo ya kutosha vaa nguo za safari,,,,tafuta kampani ya kuongozana,,,,mbele mbele pale baada ya kibao cha PEPSI twaanza piga shimo,,,,
Tafuta miba ning"iniza nyuma piga shimo,,,kituo misigiri,,,,kula ''mtukuru'',,,,asubuhi shuka sekenke,,,mpaka shelui,,,, kula tena ''gongo'' safari yaendelea mpaka Nzega,,,mtafute Said Mgoha ana kila aina ya spana ,,kagua springi safari inaendelea>>>>>>