Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 2,615
- 1,501
Wachina bhana.
Chuma inakimbia balaaa. Kama ndege.
Ndo nawasili Mwanza toka Dsm kwa masaa 9 tu.
View attachment 613912
aisee
Wachina bhana.
Chuma inakimbia balaaa. Kama ndege.
Ndo nawasili Mwanza toka Dsm kwa masaa 9 tu.
View attachment 613912
Vipae kwani hiyo ni ndege?vikiwa vipaa angani?
anhaa poapoaSmart
Haha haha kwenye kindoo mkuuasa hayo maboga si utafunga gunia nyuma ubuluze maake ndani hakutoshi
asee hicho labda kiwe chakuendea klinikiHaha haha kwenye kindoo mkuu
Ndo raha ya kigari hiki kikipata pancha tuhh, unakisukumaasee hicho labda kiwe chakuendea kliniki
Wa Tz nimewashindwa!Kinafaa kwenda kuchumia maboga shambani
Mtu watu mna dharauSiwezi kurisk kwenda hata Morogoro na hako kadude. Labda kuzunguka nako uswahilini. Hata kupishana na lori lazima uyumbe.
Siamini kama ni wewe. Kwa mara ya kwanza nimeona umecomment kitu kwa akili. Nadhani upande ule huwa unajitoa ufahamuHiyo siyo Mchina, hiyo ni smart inatengenezwa na Mercedes Benz ya Ujerumani!
Mkuu mbere vimejaa hapa town kama utitiri sema havipai kama mtoa mada anavyoaminisha watu hapamkuu hii gani haipo tanzania
Hiki ki flyover na guta, bora guta mkuu.Wa Tz nimewashindwa!
Sio dharau aisee...!!! Ukikutana na semi kwny highway, jamaa kaituma vizuri, anakuhamisha aisee..!! Yan unahama bila hata kuguswa.Mtu watu mna dharau