Deshmo
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 4,820
- 4,264
Huyo LEMA ana undugu na Godbless Lema?
Ana undugu na Wassira
Huyo LEMA ana undugu na Godbless Lema?
ukitaka uwe gaidi au jambazi bila kushikwa haraka usiguse wahindi
kila aliyekorofisha wahindi tanzania hakufika hata wiki alidakwa na kushughulikiwa.... nilipata hiyo fact kutoka kwa mhindi mmoja alikua keshakunywa amelewa
na alitoa mifano zaidi ya kumi kwa kila aliyemdhuru mhindi, alishughulikiwa hata kama ni traffic offense...
chadema semeni sasa;
Je kwa hilo nalo mtakataa?
Lema ukoo wa lema yaani familia ya lema godbless, looh.
Mngeweza huyo lema mngembadilisha jina mapema;
chadema semeni sasa;
Je kwa hilo nalo mtakataa?
Lema ukoo wa lema yaani familia ya lema godbless, looh.
Mngeweza huyo lema mngembadilisha jina mapema;
Inshaalah haki itajulikana kama kweli wanahusika au ni usaniii mwingine polisi
kila mwenye akili timamu hawezi kuunga mkoni mauaji ya watu wasio na hatia na hawezi kuwahukumu au kuwatukana kundi la watu kwa makosa ya watu wengine. Udini unaopandikizwa na baadhi ya watu utaleta maafa makubwa katika nchi yetu na duniani kwa ujumla.
Mwenyezimungu ibariki tanzania,
Ningeshangaa kama jina la Lema lisingejitokeza
Kazi kweli kweli!chadema semeni sasa;
Je kwa hilo nalo mtakataa?
Lema ukoo wa lema yaani familia ya lema godbless, looh.
Mngeweza huyo lema mngembadilisha jina mapema;
I am shocked... ni siasa tu zimekutoa fahamu kiasi hiki?chadema semeni sasa;
Je kwa hilo nalo mtakataa?
Lema ukoo wa lema yaani familia ya lema godbless, looh.
Mngeweza huyo lema mngembadilisha jina mapema;
Ningeshangaa kama jina la Lema lisingejitokeza
All are muslim
chadema semeni sasa;
Je kwa hilo nalo mtakataa?
Lema ukoo wa lema yaani familia ya lema godbless, looh.
Mngeweza huyo lema mngembadilisha jina mapema;