Picha: Hawa ndio walipuaji mabomu Arusha

Picha: Hawa ndio walipuaji mabomu Arusha

Inshaalah haki itajulikana kama kweli wanahusika au ni usaniii mwingine polisi

kila mwenye akili timamu hawezi kuunga mkoni mauaji ya watu wasio na hatia na hawezi kuwahukumu au kuwatukana kundi la watu kwa makosa ya watu wengine.

Udini unaopandikizwa na baadhi ya watu utaleta maafa makubwa katika nchi yetu na duniani kwa ujumla.

Mwenyezimungu ibariki tanzania,

acha kuwa namawazo mgando hao n watuhumiwa bado hawajahukumiwa en kuwa wote waislamu haimaanishi kuwa n maswala ya kidini embu kuwa bac kimawazo aisee sio kila kitu udini
 
chadema semeni sasa;
Je kwa hilo nalo mtakataa?
Lema ukoo wa lema yaani familia ya lema godbless, looh.
Mngeweza huyo lema mngembadilisha jina mapema;
hujui ufanyacho lema ni jina ukoo hawa magaidi n makada wa ccm jina la lema halina uhusiano wowote na mbunge wa arusha mjini godbless lema naona hawa wanafiki ccm wameshaanza upotoshaji kuhusu hili
 
angalau safari hii serikali ya baba riz one haijababaika ktk kutaja majina ya washtakiwa wa ugaidi nchini.nao si wengine ni "Shabani" Mmasa, "Athumani"
"Huseini", "Mohamedi" Nuru, "Jafari" Lema, "Abdul Salum" na "Saidi" Temba.
tulisha zoea kupigwa za uso na serikali ya jk.utasikia mshukiwa aliye lipua bomu kanisani ni john blablabla.
 
Inshaalah haki itajulikana kama kweli wanahusika au ni usaniii mwingine polisi

kila mwenye akili timamu hawezi kuunga mkoni mauaji ya watu wasio na hatia na hawezi kuwahukumu au kuwatukana kundi la watu kwa makosa ya watu wengine.

Udini unaopandikizwa na baadhi ya watu utaleta maafa makubwa katika nchi yetu na duniani kwa ujumla.

Mwenyezimungu ibariki tanzania,

udini upo wapi hapo!!?.nyinyi ndio wale mnaolazimisha nyekundu iitwe nyeupe.yaani bomu kalipua abdallah lakini mshukiwa atajwe kwa jina la yohana ili ku double standardize issues.ni ujinga huo.let a spade be called a spade.
 
Magaid wote ni waislam lakin sio waislam wote ni magaidi.
 
Great thinkers

udini umetawala uzi, chuki za wazi wazi dhidi ya uislam zinajidhihirisha, yaliyomo vifuani mwa wenye chuki ni makubwa kuliko wanayoyadhihirisha bila shaka, uislam hauruhusu matukio ya kigaidi hata kidogo bali nakubali kuwa baadhi ya waislam wanafanya ugaidi kwa matamanio ya nafsi zao wenyewe na siyo dini inamuongoza au inafundisha hivyo, uislam uko tofauti na wayafanyayo baadhi ya waislam, sishangai wenye chuki hawa wakishangilia mauaji ya watoto wadogo huko palestina kisa tu wanaamini kuwa ni waislamu peke yao wanakufa, waisrael hawaitwi magaidi kabisaaaaaa.....

Great thinkers, ndevu hazina uhusiano na ugaidi bali ndevu zina uhusiano mkubwa sana na UANAUME. na hiyo ni MOJA KATI YA tofauti ya mwanamke na mwanaume.


wahusika waliokamatwa kuhusiana na matukio ya arusha wabanwe na waseme wapi wanayatoa mabomu hayo na mtandao mzima ukamatwe, na kisha wahukumiwe kulingana na makosa yao hayo kisheria, bila kujali dini zao. Ikibidi wapotezwe tu.
 
Ninatamani waislam wangekuwa na uelewa kama wako, nadhani tofauti ya ugaidi na uislam ingekkuwa dhahiri. Inahitajika waislam kuwakana magaidi, kuwakemea hadharani na kuwatenga kabisa ili ionekane kwamba ugaidi ni uasi. Kinacholeta tabu ni pale mnaponyamaza kimya. Hamasi wanateka watoto wa Israel, hamsemi, Israel akijitetea mnaanza kushambulia. Boko haram, Alqaida, alshababu, na makundi mengine ya kigaidi yanapofanya uharibifu, hamsemi mko kimya. Wahanga wanapochukua hatua za kujilinda na kudhibiti ikiwa ni pamoja na kutokomeza ugaidi, mnaanza kulalamika waislam wanaonewa sijui nini.

Mjitofofautishe kwanza ili mtofautishwe. Hii ya kwako naikubali kwa sehemu lakini hakuna mtu anayeshangilia gaza kwa sababu eti wanakufa waislam. Israel anapambana na Hamasi, magaidi na wachokozi. Magaidi hao wanalindwa na wapalestina ama kwa hiyari yao ama kwa kulazimishwa. Kwamba yanapofanya uhalifu dhidi ya israel, yanajificha nyuma ya raia ili yahurumiwe ama raia wafe yabaki yakiishi.

Kumbe dawa ili magaidi hao waadibishwe bila athari kwa raia, ni ninyi waislam kuandamana kwa kauli mbiu ya kupinga matendo ya hamasi ya uchokozi kwa Israel na kujificha nyuma ya raia na hivyo kuwasababishia umauti watu wasio na hatia. Wala si jambo la kulaum Israel. Tena hiyo ingeusafisha uislamu duniani ambao umekuwa sawa na ugaidi kwa ajili ya niny kufumbia macho matendo ya kigaidi.


Great thinkers

udini umetawala uzi, chuki za wazi wazi dhidi ya uislam zinajidhihirisha, yaliyomo vifuani mwa wenye chuki ni makubwa kuliko wanayoyadhihirisha bila shaka, uislam hauruhusu matukio ya kigaidi hata kidogo bali nakubali kuwa baadhi ya waislam wanafanya ugaidi kwa matamanio ya nafsi zao wenyewe na siyo dini inamuongoza au inafundisha hivyo, uislam uko tofauti na wayafanyayo baadhi ya waislam, sishangai wenye chuki hawa wakishangilia mauaji ya watoto wadogo huko palestina kisa tu wanaamini kuwa ni waislamu peke yao wanakufa, waisrael hawaitwi magaidi kabisaaaaaa.....

Great thinkers, ndevu hazina uhusiano na ugaidi bali ndevu zina uhusiano mkubwa sana na UANAUME. na hiyo ni MOJA KATI YA tofauti ya mwanamke na mwanaume.


wahusika waliokamatwa kuhusiana na matukio ya arusha wabanwe na waseme wapi wanayatoa mabomu hayo na mtandao mzima ukamatwe, na kisha wahukumiwe kulingana na makosa yao hayo kisheria, bila kujali dini zao. Ikibidi wapotezwe tu.
 
Watakapo tamka sababu ya kutenda hivyo ndipo itafahamika kuwa! Ugaidi ama visasi ama chuki za mioyo yao tu. Lakin kulihukumu jambo linalofanywa na mtu wala dhamira yake au makusudio yake hujui ilikuwa nini. Sasa wamepatika tujuwe dhamira yao ilikuwa nn?
 
Inaonekana wengi wao wamefunga sasa sijui itakuwaje,,,,,,..........
 
Jamani mimi nataka kuulizan kitu hapa kwasababu mara nyingi huwa inanichanganya,,NI KWANINI HAYA MAJINA YA MAKUNDI HAYA YA KIGAIDI,NI ALSHABAB,ALKAIDA...sasa hii ni lugha gani...
 
Back
Top Bottom