Binafsi siliamini kabisa jeshi LA polisi.
Henry Kilewo alibambikwa kesi ya ugaidi lkn mwisho Wa Sikh kesi ikayeyuka,pia yule Ambrose aliekamatwa kwa kulipua kanisa kesi take iliishia wapi?
Hats yule kada Wa CUF aliekamatwa kule Zanzibar nae ilikuwa kaonewa,
name waziri mkuu aliwahi kuwadanganya watanzania kuwa wamewakamata waarabu mpakani huko Arusha wakati alijua FINA kuwa wameonewa kwa sababu ya dini yao.
Huu ujinga unaofanyika ambapo amituhumiwa mtu mwenye imani ya kiislaam mnaita ugaidi name kunasibisha makosa take name dini ya kiislaam ,IPO Siku tutakuwa wakimbizi,
Ingekuwaje kama viungo vya binaadam vingekutwa taasisi ya kiislaam?
Ingekuwaje kama skendo ya mchungaji gwajima ingemkuta Shekh au Imaam?
Wale mnaokejeli ndevu name kizihusianisha name wislaam,mnataka kutuaminisha kuwa mungu we nu yesu alikuwa mwislaam? maana sanamu zote makanisani kwenu zinaonesha akiwa name ndevu za kutosha.
vipi Plato,Socrete na Aristotle NATO walikuwa waislaam kutokana name kuwa name ndevu nyigi?
ache I chuki