Picha: Hawa ndio walipuaji mabomu Arusha

Picha: Hawa ndio walipuaji mabomu Arusha

chadema semeni sasa;
Je kwa hilo nalo mtakataa?
Lema ukoo wa lema yaani familia ya lema godbless, looh.
Mngeweza huyo lema mngembadilisha jina mapema;
Si vema kutukana! Si uungwana. Lema ni ukoo mkubwa wenye watu wengi! Tujichunge!
 
chadema semeni sasa;
Je kwa hilo nalo mtakataa?
Lema ukoo wa lema yaani familia ya lema godbless, looh.
Mngeweza huyo lema mngembadilisha jina mapema;


Naona akili zako ni za kuvuka barabara tu. Hivi kwakuwa kuna majina mengi ya Waislamu unataka kusema waliolipua ni waislamu? Halafu huyo Lema unayemhusisha kwa kuangalia ubini tu, mbona huanzi na jina la mwanzo. Hili jambo ni kubwa sana hapa hakuna cha uislamu wala U- CHADEMA suala hapa ni uhalifu. Acheni siasa zenu za kijinga mambo makubwa kama haya mnaleta siasa, hivi yule kijana aliyekatwa mguu angekuwa ndugu yako ungekuja kuropoka upuuzi huu hapa.
 
Kweli Mkuu.

Ukweli utabainika tu.

Kilichojificha kitajianika chenyewe.
Inshaalah haki itajulikana kama kweli wanahusika au ni usaniii mwingine polisi

kila mwenye akili timamu hawezi kuunga mkoni mauaji ya watu wasio na hatia na hawezi kuwahukumu au kuwatukana kundi la watu kwa makosa ya watu wengine.

Udini unaopandikizwa na baadhi ya watu utaleta maafa makubwa katika nchi yetu na duniani kwa ujumla.

Mwenyezimungu ibariki tanzania,
 
Waislam pingeni huu upuuzi

Wewe kikojozi waislam lazima watakuwa ni marijali wako wewe.

Gwajima anaiba wake za watu kule kila siku.

Mbona hatujaskia mkishika mabango juu ya hilo.

Uislam as a religion unahusikaje na matukioa hayo.

Uislam ndio umewatuma wafanye hivyo??

Then hao ni watuhumiwa hiyo case ishakuwa proved kuwa ndio wahusika wenyewe??

Wewe umezoea kulizwa lizwa na kina dada kama Madame B.

Kikojozi huna unalolijua mgalatia uliekosa akili na mwenye laana kama taifa laaanifu la israel.

Teh teh teh.

Vikojozi utawajua tu.
 
Nadhani title si sahihi. Hao si walipuaji. Ni watuhumiwa wa ulipuaji.
 
Inakuwaje, mbona bado wana macho, kucha na meno? Magaidi kama hawa ni kuwakomesha tu kuwachoma moto pamoja na kuwanyoa ndevu kwa bati la moto.
 
Wewe kikojozi waislam lazima watakuwa ni marijali wako wewe.

Gwajima anaiba wake za watu kule kila siku.

Mbona hatujaskia mkishika mabango juu ya hilo.

Uislam as a religion unahusikaje na matukioa hayo.

Uislam ndio umewatuma wafanye hivyo??

Then hao ni watuhumiwa hiyo case ishakuwa proved kuwa ndio wahusika wenyewe??

Wewe umezoea kulizwa lizwa na kina dada kama Madame B.

Kikojozi huna unalolijua mgalatia uliekosa akili na mwenye laana kama taifa laaanifu la israel.

Teh teh teh.

Vikojozi utawajua tu.

Teh teh teh mkuu THE BIG SHOW umenichekesha kumbe huyu kamanda ni kikojozi dah! hatari sana.
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh mkuu THE BIG SHOW umenichekesha kumbe huyu kamanda ni kikojozi dah! hatari sana.

Teh teh teh

Mkuu bokoharam huyo kikojoz tu bata yatima wa Dr. Kahtaan huyo.

Hapo wakija mabanati basi watamwimbisha rusha roohoo vidole juu mwanzo mwisho.

Si unajua wengi wao hawa wagalatia hawana akili??

Teh teh teh.

Me wananishangazaga sana most of these kaffirs..
 
Last edited by a moderator:
Watu wenyewe waarabu koko hata uarabuni wanaonekana ni waafrika lakini muulizee hapo atakubishia ye mwarabu mpaka ataliaa
 
Nadhani title si sahihi. Hao si walipuaji. Ni watuhumiwa wa ulipuaji.

Kwani hujui lengo lao ni nini??

Lengo lao makafir siku zoote ni kuuchafua uislam na waislamu.

Sisi hawatupi shida hata kidogo.
 
Kwani hujui lengo lao ni nini??

Lengo lao makafir siku zoote ni kuuchafua uislam na waislamu.

Sisi hawatupi shida hata kidogo.

Wewe ni mpuuzi sana. Sasa kama waislam wenyewe wanauchafua uislam ulitaka Wakristo wafanye kazi ya kuusifia? Hii inaanza na ninyi wenyewe, mki-potray image ya amani wakristo watasifia uislam.

Mlivyo wa ajabu na hamweleweki jana ulipandishwa uzi wa kumsifia Alhad Salum, sheikh wa mkoa wa DSM.

Migaidi ikakurupuka ikasema yule Sheikh ni Kafiri eti kisa anahubiri amani, umoja, mshikamano, kuvumiliana na kusameheana. Migaidi inataka mijitu inayohubiri shari, kuuana, visasi, vurugu n.k. Halafu uki wa expose hao wahubirio shari yanaibuka majinga kama THE BIG SHOW wanasema tunauchafua uislam. Nani kauchafua uislam zaidi ya Waislam wenyewe?
 
Last edited by a moderator:
Wanataka kutuharibia nchi....sheria ichukue mkondo wake la sivyo Tanzania itageuka kuwa kama kenya.
 
Hao wenye kurusha madege na makombora kuuwa watu libya sirya gaza misri nk, ni kina nani? Magaidi au ndo .....
 
Back
Top Bottom