Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 5,426
- 13,696
Kwani Binti Sayuni03 una mtu tayari?? 😋😋Po
Pole sana mkuu, hapo ukae hata siku 2 uanze kutafuta mwingine
Kwani Binti Sayuni03 una mtu tayari?? 😋😋Po
Pole sana mkuu, hapo ukae hata siku 2 uanze kutafuta mwingine
Ninaye lakini siyo kiviiiiile😁😁Kwani Binti Sayuni03 una mtu tayari?? 😋😋
Shetani anapenda sana anavoona mahusiano ya watu yakivunjika.Mchumba huyu nimedumu nae miaka miwili Sasa, ila dharau na jeuri ndio Tabia yake sugu.
Sasa imetosha.View attachment 3277170
Hata mimi pia ninaye lakini siyo kivilee, unaonaje Sasa tuaze safari upya mimi na wewe 😋😋😋Ninaye lakini siyo kiviiiiile😁😁
Kwaiyo apo umeona umeyamaliza ama ndio unaingia kwenye upwekeMchumba huyu nimedumu nae miaka miwili Sasa, ila dharau na jeuri ndio Tabia yake sugu.
Sasa imetosha.View attachment 3277170
Yeah mkuu, mwanamke hawezi kukujibu haraka kiasi hicho kuwa muachane, ingali hana mtu mwingine zaidi yake.. 😊😊. Hapo alikuwa anasindikiza trenHuyo ana bwana wake pembeni .,ni ngumu mwanamke kukubali kuachana unless ana plan B
fact kwahiyo hapa anatafuta sababu tuUkikua utaacha. Halafu huyo mpaka umekuja kulia huku ujue unampenda. Kwamba kwako imekuwa kazi ngumu sana kuachana na demu tu?
Utupe mrejesho mkirudiana ama ukimuoaSinaga Tabia ya kurudia matapishi
mkuu umeongea point mno ila sometime inahitaji muda mtu kuanzisha mahusiano mengine kwa muda mchache hivo sana sana kwa (me)Hongera kwa uamuzi mgumu japo najua inauma kuachana na mtu ambaye umekuwa naye kwa muda mrefu. Muda mwingine tunavumilia mambo ambayo hayavumiliki kwenye mahusiano. Usipuzie red flags kwenye mahusiano, sometimes inabidi ucut loss ili usiendele kupata hasara zaidi.
Ushauri
Next time ukitaka kuachana na mpenzi wako andaa exit plan, ikiwezekana utafute replacement kabisa kabla ya kuachana. Hii inasaidia kupunguza upweke na matokeo yake kurudi kwa dear ex.
# Tunafiwa na watu tunaowapenda tunasahau na maisha yanaendelea sembuse kuamuacha mtu na mb*nye yake
🤣🤣🤣Utupe mrejesho mkirudiana ama ukimuoa
hahaha yalikukuta nini mkuuWatoto wa 2000, pumbaf kabisa
Maana halisi ya No Reform No Election.Mchumba huyu nimedumu nae miaka miwili Sasa, ila dharau na jeuri ndio Tabia yake sugu.
Sasa imetosha.View attachment 3277170
Ameacha kinyonge sana.Hiyo convo inaonyesha nani mwenye maumivu makali moyoni, just by reading unaona kabisa.
Labda uwe wa chuga,Mchumba huyu nimedumu nae miaka miwili Sasa, ila dharau na jeuri ndio Tabia yake sugu.
Sasa imetosha.View attachment 3277170