Mkuu kuna watu makini katika taifa letu katika maswala ya kisiasa, sio hao mamiss acha kujidanganya.
Kwani TRA ipo chini ya serikali ya Chama gani?Ndio maana nimekuambia toka mwanzo, habari za vijiweni usizilete hapa JF, zipeleke kwa hao hao wanywa gongo!!
CCM haina mamlaka ya kumruhusu mtu avoid au ku evade kulipa kodi. TRA ndio wasimamizi wakuu wa mapato Tz na wala siyo CCM! TRA hamwana mamlaka ya kumnyanya mtu cuz eti siyo CCM! Ingekuwa ni hivyo akina Sabodo,Ndesamburo na Slaa wasingekuwa wanafanya biashara.
Cha muhimu ni wewe mlipa kodi kuhakikisha unacomply na tax laws. Na kwa sasa wananchi wengi wapo aware sana na masuala ya kodi.
Kumbe zilipatikana mil 300 tu??? Pamoja na promo yote, kama wameshinndwa kufikisha lengo la mil 500 walilokuwa wameliweka, vivyo hivyo na 2015 kura hazitatosha!!
Kumbe zilipatikana mil 300 tu??? Pamoja na promo yote, kama wameshinndwa kufikisha lengo la mil 500 walilokuwa wameliweka, vivyo hivyo na 2015 kura hazitatosha!!
Wewe unafikiri CDM hela zake zinatokana na wezi wa mali za umma kama yule aliyeachia Ngazi huko Igunga
hizo M 300 nyingi ni ahadi...
Ahadi zenyewe ni kutoka kwa wauza sura...duh! Nakisikitkia sana hiki chama cha Kaskazini!
hizo M 300 nyingi ni ahadi...
Wewe unafikiri CDM hela zake zinatokana na wezi wa mali za umma kama yule aliyeachia Ngazi huko Igunga
Serikali yenu ya CCM inafadhiliwa na wezi unategemea nini? Iwafunge tena?
wezi wote wapo magerezani.. yeye hana kesi, huna ushahidi, unamwita mwizi ! kama si wivu nini..?!
Tafrija ilifanyika Dar vipi wale wadau wakubwa wa Chadema ndani JF akina molemo, Gwalihenzi, Mwita Maranya na Aweda mjumbe wa mkutano mkuu wa taifa mlialikwa au mnuso ndio ilikuwa kwa kujuana neema za M4C ziwe kwa wote wasio wengine mtoke povu la mdomo kutetea kundi walaji na huku hamnufaiki na ulaji wenyewe. Nimepitia picha siwaoni na watu hawakuwa wengi kiasi hicho.
Chama
Gongo la mboto DSM
Hivi milioni 70 unaweza kupata Chopa mbili na magari 100? Ninavyojua bei ya Chopa moja ni dola 300,000.
Ahadi zenyewe ni kutoka kwa wauza sura...duh! Nakisikitkia sana hiki chama cha Kaskazini!
Lengo ni kupata bilioni 5 lakini wamepata milioni 70 pamoja na ahadi, kama Dar mlipanga kupata milioni 500 ndio sehemu mliokuwa mnaitegemea lengo limekwama...sasa unakwenda kumualika Sinta na Joketi unategemea nini.