Picha: Gharama za kutuma hela ni kubwa sana

Picha: Gharama za kutuma hela ni kubwa sana

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
1,116
Reaction score
2,481
Yaani laki 2 ya kutoa ni 6,000 ? Aisee tuacheni kutumia haya mambo ni gharama sana kutuma pesa kwa mitandao
IMG_7676.jpeg
 
Kuna namna viongozi wetu wamewishiwa ubunifu WA mapato
 
Kuna namna viongozi wetu wamewishiwa ubunifu WA mapato
Watanzania wengi sana hawalipi kodi, biashara nyingi sana hazilipi kodi,zilipishwe kodi,pesa ikibadili mikono sharti pawe na kodi, niliona sehemu black market economy tz 44% ya gdp,just imagine!
 
Makato yamekuwa makubwa sana inaumiza wananchi!Bad news hatuna la kufanya
 
Back
Top Bottom