kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,713
- 11,274
Hii inaonyesha ni kwa kiasi gani Tanzania kuna ujinga na upunguwazi kupita kiasi. Hiyo ni juu ya ukosefu wa kazi au kutokuthamini kazi. Hivi kumuangalia Ponda kwa kutumia masaa kadhaa kutawasaidia nini hao ndugu zetu pichani?
Wewe usie na ndugu ndio utayasema hayo!
Sheikh ponda ana ndugu maalfu hapa nchini!
Na kwenda kumtembelea ndugu yako sio lzm usaudiwe kitu au upate maslahi fulani!
Ni mapenzi baina ya ndugu ndio yanayo sababisha watu kutembeleana!
Kama wewe huna ndugu kajinyonge!