Kubwajinga
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,194
- 297
Wewe kama ni mtanzani huna haja ya kuniuliza swali kama hili!
Nadhani jamii inawafahamu waislamu vizuri tu!
Linapokuja suala la kusaidiana kwenye shida na raha, waislamu si wenye kujitenga hata siku mmoja!
Ponda na waislamu wote tunapigia kelele MFUMO KRISTO! ambao muasisi alikuwa nyerere na mpaka leo unaingilia kila nyanja za maisha!
Wagalatia wanajifanya wana akili nyingi kuuingiza mfumo huo mpaka kwenye shule za chekechea! Na kila anaeupinga anavamiwa na kunyanyaswa! Mfano shehe ponda!!
Sasa kama nyie mnajifanya kuuma huku mnapuliza! Kuna mwisho wake.
watu watachoka na balaa litakuja ikuta nchi!
Mnawaona waislamu wajinga siku zote kulalamika bila vitendo.
Watu wanapeleka malalamiko serikalini! Wanakutana na john, joseph, matayo! Na hawa wanatumia madaraka yao kuwanyanyasa!
Siku inakaribia saana ambayo waislamu hawato omba haki yao! Bali wataichukua.
Ogopeni saana mtu ambae haogopi kufa ktk kutafuta haki yake. Tumeyaona kwa wenzetu! Na hatutaki yatukute hapa kwetu! Lkn watu bado viburi!!
Na siku hio ikifika! Mungu aisaidie nchi yetu.!!!!
Mbokaleo,
Wewe ni kigeugeu na mtu wa chuki. Umekunywa porojo za kina Ponda na wenzake wenye wivu na chuki zao kwa wakristo, na wewe ukazifanya kuwa ni sehemu ya uislamu. Kumbuka wivu na chuki vime-dhambishiwa na mtume (SAW).
- Umengangana na mfumo kristo kama vile upo. Hakuna kitu kiitwacho Mfumo Kristo, hayo ni maneno ya uchochezi tu. Kinachokusumbua wewe pamoja na Ponda ni wivu na chuki na sio mfumo wowote ule.
- Tiba ya chuki uliyonayo sio vitisho vya vurugu kwani vitisho vya muhanga haviogopwi tena siku hizi. Bali kama ungekubali kuondoa chuki na wivu na kuungalia ukweli kama ulivyo, basi ungeweza kusonga mbele. Angalia na kudadisi ni kwa nini wakristo walifanikiwa zaidi halafu ujaribu kuiga yaliyo bora badala ya kutumia wivu/chuki kulalama.
- Bahati mbaya ni kuwa Ponda hatengenezi 'kundi la werevu' bali anatengeneza 'genge la wajinga' wenye chuki na wivu. Zaidi ya hapo Ponda anawafanya hao wajinga kuamini hiyo chuki kuwa inakubalika kwenye uislamu wao. Eti adui wao mkubwa wa shida zao ni majirani na ndugu zao wakristo, wakiongozwa na maiti ya Nyerere, na kuwa jibu lake ni vurugu kuanzia misikitini, mitaani hadi JF. Hivyo sio jambo la kushangaza kuona hao wajinga wakipanga foleni kwa masaa hata ingebidi siku kumuangalia mjinga mwenzao, Ponda, badala ya kwenda kufukuzia shilingi.