Mbona umeileta Jukwaa la Siasa, kwani Ponda ni mwanasiasa?
Mwambieni Lemutz aliyesema Ponda is just a.......... person, äkarudie maeno yake hapo kwenye foleni.
heee huyu kilaza ndo kaongea hivyo sijamsikiamwambieni lemutz aliyesema ponda is just a.......... Person, äkarudie maeno yake hapo kwenye foleni.
Wapendwa na wandugu, hapo wangeliombwa kujitolea damu ( blood donation ) si ingelijaa matanki na mapipa ya muhibili.!Mi niko nalala
Mbona umeileta Jukwaa la Siasa, kwani Ponda ni mwanasiasa?
Jamenii Mwenyezzi Mungu Mkubwa toeni " Takbirr "
Allahu-Akbar..
Sina hakika KAZINI wameaga wanaenda wapi hao jamaa...