PICHA/FLYOVERS; MAGUFULI OYEEE!!! CCM OYEEE!!!

PICHA/FLYOVERS; MAGUFULI OYEEE!!! CCM OYEEE!!!

Wafadhili wanajitoa kwasababu ya kukosa namna ya kutuibia. Zile Fedha zote walizokuwa wakitupa walikua wakiziiba hapa kwetu, na kutufadhili chache. CCM ya Magufuli imelibaini hilo.
Akili yako ni ndogo sana. Rudi shule
 
Jinsi ambavyo milembe wametorokwa na mtu wao
Ai ai ai...Wallah tena wewe utakuwa na minyoo si bure. Na ban inakunyemelea muda si mrefu. Ngoja niwaeleze mods - unatukana watu!
 
Wewe sio mtanzania. Acha chuki. Kama ni bomba la mafuta , tayari imeishapitishwa, litapitia TANZANIA, Tanga!

Mimi ni Mtaganyika kati ya wale million tisa walionyakuwa uhuru wa nchi hii . Kama ni bomba la mafuta hata mie nafurahi likienda Tanga ingawa Wakikuyu ni wafitini wazuri.

Na kuhusu michoro ya barabara za juu chini ya CCM sidhani
 
Una miaka mingapi mkuu kuniita dogo?

Kwa mwandiko huu unanipa wasiwasi huenda nikiweka mstari utaniambia niweke biblia.

Heri yake aliye sadiki bila kuona.
Unapotaja Biblia eleza andiko umelitoa sehemu gani ndani ya biblia, vinginevyo utakuwa ni ubabaishaji.
 
This thread made my day loooh nimecheka mpaka basi... inahitaji imani ya kufufua mtu to believe this.
 
kila kitu kina wezekana ila kwa tz apana kutokea kwa miaka 5ijayo in ndoto ila kuweza tunaweza. sema sasa??????
 
Back
Top Bottom