PICHA/FLYOVERS; MAGUFULI OYEEE!!! CCM OYEEE!!!

PICHA/FLYOVERS; MAGUFULI OYEEE!!! CCM OYEEE!!!

Una miaka mingapi mkuu kuniita dogo?

Kwa mwandiko huu unanipa wasiwasi huenda nikiweka mstari utaniambia niweke biblia.

Heri yake aliye sadiki bila kuona.
Sio vizuri kuandika vitu usivyovielewa undani wake. Be gentle!
 
Mimi nikajua ujenzi umeanza,kumbu hadithi zilezile.
 
Treni ya Umeme ikipita Daraja la Ruvu ikitoka MORO kwenda Dar,chini ni Moro road,kushoto ni fly over, 5 yrs to come : Tizama picha hapa chini ! CCM CHAMA DUME!

73c126bc0bad43892a8fa96cfeb68196.jpg
NDOTO ZA MCHANA HIZI
 
DART imemshinda itakuwa train?
Get a life dogo."fanya kazi usaidie wazazi wako kijijini kwenu
DART haijashindikana, msipotoshwe na wanasiasa feki wasioipenda nchi yetu.
 
Acha kudharau walemavu wa ngozi wewe, kwani huoni kuwa wafadhili wanajitoa
Wafadhili wanajitoa kwasababu ya kukosa namna ya kutuibia. Zile Fedha zote walizokuwa wakitupa walikua wakiziiba hapa kwetu, na kutufadhili chache. CCM ya Magufuli imelibaini hilo.
 
Wafadhili wanajitoa kwasababu ya kukosa namna ya kutuibia. Zile Fedha zote walizokuwa wakitupa walikua wakiziiba hapa kwetu, na kutufadhili chache. CCM ya Magufuli imelibaini hilo.
Ondoa utoto wako hapa, nyie ndiyo mnaishusha hadhi JF, wote tunaonekana mazuzu.. Swine
 
Treni ya Umeme ikipita Daraja la Ruvu ikitoka MORO kwenda Dar,chini ni Moro road,kushoto ni fly over, 5 yrs to come : Tizama picha hapa chini ! CCM CHAMA DUME!

73c126bc0bad43892a8fa96cfeb68196.jpg
Umeme wenyewe shida, pole kwasababu unaota endelea kulala
 
Wakabaji watakuwa wanatumia bunduki,,,wazazi wanakunywa maziwa bure,,tutakatatwa kupanda magari yetu sababu ya wingi wa magari,, makahaba kupewa plate no, Tz kuwa member wa G20,, wasauzi watakuwa wamazamia bongo,, viwanjani tunaingia Kwa digitali,, kifanya kazi mikoani na kurudi mkoani kwako kawaida,,,,,
Ila hii ndoto,,,,,mwisho kuota Leo!!!!!!
 
5years to come?????? Kwa Tanzania hii hii? Ptuuuuuuuu. Kwanza kwa umeme upi labda? Huu huu ambao kuwaka 24Hrs bila kukatika tunashangaa?
Ndugu una ndoto nzuri sana ila hebu zipe muda. Sio sasa wala miaka 20 ijayo
 
Back
Top Bottom