Kama kweli ni Tangazo la Tii Sheri bila Shuruti, Mamlaka Halisi ilipaswa kutoa tamko ili kuwaaminisha wananchi wasiwe na shauku. Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Camilius Wambura, amethibitisha kukamatwa kwa Kibonde na Gardner.
Kama yeye ametoa tamko hilo ikiwa ni sehemu ya "igizo" bila wananchi kuelewa, basi, hii ni THE MOST STUPID PRODUCTION EVER in the history of Public Safety Media Relations.
MADUDU bin BALAA!
Nikianza kuelezea wapi wamekosea na wapi wamepatia, ratio itakuwa 99.9% makosa na 0.1% kupatia.
Mnachemka zaidi kwa KUTUMIA NGUVU NYINGI SANA kukanusha tukio hili, na watu WAMEKATAA kukubali kwamba ni SINEMA! Kimsingi, MMEUMBUKA! Mchana kweupe peeeee! BOOOOOM!
Sio vizuri kujizira, inabidi kuishi kwa matumaini.
Dozi na pombe haziendani, ushauri nasaha unahitajika
Asalam aleykum mkuu kwa kuliona Hilo
...how
Wadau,
Mnapenda sana UMBEA,muda sijui mnatoa wapi?. Je Mkiambiwa kua walikua wanatengeneza TANGAZO la kutii sheria bila shurti?.
Halafu mnasema nchi yenu masikini. Tanzania itaachaje kuwa masikini kama sample ya watu wake ni aina YENU humu??!!
Negative thinking imewajaa na uzandiki. Fanyeni kazi acheni majungu. Sasa KiBONDE akifungwa au kuwekwa sero wewe unafaidika vipi?
Mchawi sio lazima akuroge
Punguzeni majungu
FP
zilaumiwe castle za bariiiiiidiiiiii sio kibonde
hahaaaa noma sana. Vipi leo studio ameenda!?? bado yupo kituoni?
Na wakome!
Wamekumbuka kumpa vidonge vyake huyu..maana yuko kwenye dozi ya mbaazi
Kayanda anaenda kumtoa kama nani? Ni mwana-sheria wao?