Picha: Dr.Slaa ampokea Prof. Lipumba kiaina

acheni uongo Dr slaa alikuwa na njia zake.tena alizua vurumai pale wanachama wa cuf wakidai cdm ni wabinafsi bunge mpaka wengine walitemea mate gari yake na kutoa maneno machafu.kwa nini? Watu si wakweli kila kitu ni ushabiki tu.semeni hali halisi ili watu wajifunze na wapate habari za kweli

Rafiki i prove you wrong,ulichoongea si kweli,i was there,zaidi mliona anaweza kumfunika Pro,nakuaza kuwazuia wanachama wenu wasimsherehekee and it wa an order.

Nafiki inabidi sasa tufike mahali tubadili characters,nilikuwa airport kwa mda mrefu sana nimeona mengi na kuwajifunza sana,sijapenda kucoment ni....

Wasalimie ndugu zangu waliotoka Rufiji,Zanzibar,Lindi na Mtwara.Hope wamerudi salama.
 
Ndo raha ya kuwa na mwenyekiti wa chama kichwa siyo kama hawa ma how magamba
 
Hivi CUF wametoa wapi ule umati wa watu? ni pigo kubwa kwa Hamadi Rashidi na jamaa zake.
siyo pigo kwa Hamad Rashid peke yake bali hata kwa vyama vingine vilivyojipendekeza Kumpokea Prof. kwa malengo ya kuvuna wanachama.
 
Na wewe Josephine ulikuwa unatoka VATICAN? Padre aliruhusiwa kwenda na mchumba kwa POPE? Au mlienda kumtakasa mtoto!
 
Haya mapokezi ya Lipumba tulitaarifiwa hapa jamvini siku kadhaa zilizopita, tukaandikiwa na kiasi cha pesa kilichotengewa kazi hii. Kutokana na mahusiano baina ya CUF na CCM, kulikuwa na uzembe wa halli ya juu kwa upande wa CDM kushindwa kupanga Dr Slaa kuwasilli muda tofauti na ule au hata siku tofauti. Kwa chama kinachotarajiwa kushika dola, haya si mambo ya kuvumilia. Lazima mtu awajibishwa kwa Dr Kudhalilishwa. Tuachane na ushabiki.

WanaJF,
Kwanza napemda kuwasalimu kwa heshima na taadhima.
1. Siku zote nimewaasa mdugu zangu kupanda juu ya ushabiki usio na maana. Tusipoteze muda kwenye ushabiki bali tutumie muda wetu kujadili mustakabali wa Taifa letu ambalo kila siku linaporomoka.
2. Kujadili umaarufu wa Slaa au Lipumba hakutaokoa Taifa. Tutumie muda zaidi kujadili hoja na vision ya mtu ndio mambo pekee yatakayookoa Taifa؛‎ kupunguza makali ya maisha, kuokoa uchumi wetu, kuwapatia vijana ajira, kujadili msingi ya matatizo yetu .
3. Dr Slaa nilikuwa Lago di Como Milan(siyo Vatican) kwenye mkutano wa kimataifa uliohusu hali ya uchumi. Mkutano huo umepangwa zaidi ya miezi 8 iliyopita na ratiba ya Dr slaa haina uhusiano na ratiba ya Prof. Lipumba. Isitoshe siasa si uadui.
 
umesomeka dakta...!

ninashauri jf members wafanyiwe screening..!hasa huku kwenye siasa...wajuaj wengi mno...!jf ya zama hizi sio ile iliyonipa ushawish wa kuwa member miaka mitatu iliyopita
 
WanaJF,
Kwanza napemda kuwasalimu kwa heshima na taadhima.
1. Siku zote nimewaasa mdugu zangu kupanda juu ya ushabiki usio na maana. Tusipoteze muda kwenye ushabiki bali tutumie muda wetu kujadili mustakabali wa Taifa letu ambalo kila siku linaporomoka.
2. Kujadili umaarufu wa Slaa au Lipumba hakutaokoa Taifa. Tutumie muda zaidi kujadili hoja na vision ya mtu ndio mambo pekee yatakayookoa Taifa؛‎ kupunguza makali ya maisha, kuokoa uchumi wetu, kuwapatia vijana ajira, kujadili msingi ya matatizo yetu .
3. Dr Slaa nilikuwa Lago di Como Milan(siyo Vatican) kwenye mkutano wa kimataifa uliohusu hali ya uchumi. Mkutano huo umepangwa zaidi ya miezi 8 iliyopita na ratiba ya Dr slaa haina uhusiano na ratiba ya Prof. Lipumba. Isitoshe siasa si uadui.
Dr,
Ilkuwa gadhabu tu baada ya kusoma kuwa kuna wahuni walifikia hatua ya kurusha mate. Hata hivyo, tahadhari bado ni muhimu nyakati zote. Ni kweli kabisa kuwa siasa si uadui kwa watu wastaarabu, lakini wapo pia (Wasiostaarabika?) wanaoamini kuwa siasa ni mchezo mchafu. Kama huamini hilo mtembelee Dr Mwakyembe. Thanks though for clarification, na pole na safari.
 
Dr Slaa alikuwa hana ulinzi wowote? nauliza tu maana nimeona ka mtu kama Topical hivi nyuma yake...!
Sio tu ka mtu, mimi naona pia kamebeba na vijiunga!!Ni hatari sana, si busara DK. kutembea bila ulinzi.
 
WanaJF,
Kwanza napemda kuwasalimu kwa heshima na taadhima.
1. Siku zote nimewaasa mdugu zangu kupanda juu ya ushabiki usio na maana. Tusipoteze muda kwenye ushabiki bali tutumie muda wetu kujadili mustakabali wa Taifa letu ambalo kila siku linaporomoka.
2. Kujadili umaarufu wa Slaa au Lipumba hakutaokoa Taifa. Tutumie muda zaidi kujadili hoja na vision ya mtu ndio mambo pekee yatakayookoa Taifa؛‎ kupunguza makali ya maisha, kuokoa uchumi wetu, kuwapatia vijana ajira, kujadili msingi ya matatizo yetu .
3. Dr Slaa nilikuwa Lago di Como Milan(siyo Vatican) kwenye mkutano wa kimataifa uliohusu hali ya uchumi. Mkutano huo umepangwa zaidi ya miezi 8 iliyopita na ratiba ya Dr slaa haina uhusiano na ratiba ya Prof. Lipumba. Isitoshe siasa si uadui.

Sawa Dokta. Sasa unalizungumziaje hili suala la wewe kumpokea Profesa Lipumba?
Je lilikuwa kwenye ratiba zako ama was just a coincidence?
Naungana na wewe kwamba siasa siyo uadui, but im just curious kupata ukweli halisi kutoka kwako...
 
Keep on dreaming broda..

We are in government (zanzibar), we have MPs in both part of the union, no oppositon party in Tanzania has ever achieved that extent ..

utakufa wewe CUF itaendelea kunawiri

The problem of this simple minded citizens is that they never think beyond their nose.Tatizo la nafsi linawasumbua.
 
Sawa Dokta. Sasa unalizungumziaje hili suala la wewe kumpokea Profesa Lipumba?
Je lilikuwa kwenye ratiba zako ama was just a coincidence?
Naungana na wewe kwamba siasa siyo uadui, but im just curious kupata ukweli halisi kutoka kwako...
Mkuu, mbona yote uliyouliza ameeleza vizuri kabisa? Au mimi nina upeo mdogo wa kuelewa alichoandika Slaa? Ngoja nirudie kusoma ...
 
Back
Top Bottom