Picha: Dr.Slaa ampokea Prof. Lipumba kiaina

MANGI MASTA

Senior Member
Jul 14, 2011
175
56
drSlaa.JPG
Hapa ilikuwa kabla prof.Lipumba kuwasili,ilimbidi abadilishe njia kwani nyingi zilikuwa zimejaa wafuasi wa CUF,aliteremka na kusabahi.
 
Anawaka yeye,chama kinakufa.

Endelea kuamini hivyo usijejikuta unakufa wewe chama kikabaki.CUF kufa si rahis kama unavyoota.Hayo ni mapito ya kisiasa ili chama kuwa imara.CHUMA ILI KIWE IMARA LAZIMA KIPITITIE KWENYE MOTO KIUNGUZWE NDO KIWE CHUMA.HAPA TULIPO TUPITA NA KUWA IMARA ZAID.TIME WILL TELL
 
Slaa alifikiri kaenda kupokewa yeye, akitokea Vatikan, alipostuka kumbe ni Professor ikabidi azuge.
 
Endelea kuamini hivyo usijejikuta unakufa wewe chama kikabaki.CUF kufa si rahis kama unavyoota.Hayo ni mapito ya kisiasa ili chama kuwa imara.CHUMA ILI KIWE IMARA LAZIMA KIPITITIE KWENYE MOTO KIUNGUZWE NDO KIWE CHUMA.HAPA TULIPO TUPITA NA KUWA IMARA ZAID.TIME WILL TELL
Said Miraj anayajua haya?? Angalieni kwa makini usijekushangaa prof naye anatimkia ADP...
 
Alikuwa anawasili toka Itali, doctor huyu ni muungwana sana. Bg up mheshimiwa
 
Endelea kuamini hivyo usijejikuta unakufa wewe chama kikabaki.CUF kufa si rahis kama unavyoota.Hayo ni mapito ya kisiasa ili chama kuwa imara.CHUMA ILI KIWE IMARA LAZIMA KIPITITIE KWENYE MOTO KIUNGUZWE NDO KIWE CHUMA.HAPA TULIPO TUPITA NA KUWA IMARA ZAID.TIME WILL TELL

NRA, UMD, TLP . . . . . . . . . . bado zipo kwenye mapito sio? kwa taratibu za mila za zamani kiongozi wa kabila akifa huzikwa na mtu aliye hai, naona ushapumbazwa utaisindikiza imekufa mzikwe ukiwa hai, na atokee mtu akuokoe kifikra labda utashtuka.
 
Slaa ndugu yangu lakini urais ameenda kusiko...anastahili awasaidie wanakondoo period..

Acha uoga, a coward is a liar.
Kwa nia njema mzee mkubwa kawasabahi wafiwa waliokuwa wakihani msiba wa ile maiti yetu CUF tena iliyoanza kuoza.
 
NRA, UMD, TLP . . . . . . . . . . bado zipo kwenye mapito sio? kwa taratibu za mila za zamani kiongozi wa kabila akifa huzikwa na mtu aliye hai, naona ushapumbazwa utaisindikiza imekufa mzikwe ukiwa hai, na atokee mtu akuokoe kifikra labda utashtuka.

Keep on dreaming broda..

We are in government (zanzibar), we have MPs in both part of the union, no oppositon party in Tanzania has ever achieved that extent ..

utakufa wewe CUF itaendelea kunawiri
 
Back
Top Bottom