MANGI MASTA
Senior Member
- Jul 14, 2011
- 175
- 56
jana mbowe alisema dr yupo italy
sio siri leo cuf walifunika vibaya sana!
Anawaka yeye,chama kinakufa.
Said Miraj anayajua haya?? Angalieni kwa makini usijekushangaa prof naye anatimkia ADP...Endelea kuamini hivyo usijejikuta unakufa wewe chama kikabaki.CUF kufa si rahis kama unavyoota.Hayo ni mapito ya kisiasa ili chama kuwa imara.CHUMA ILI KIWE IMARA LAZIMA KIPITITIE KWENYE MOTO KIUNGUZWE NDO KIWE CHUMA.HAPA TULIPO TUPITA NA KUWA IMARA ZAID.TIME WILL TELL
Dr Slaa alikuwa hana ulinzi wowote? nauliza tu maana nimeona ka mtu kama Topical hivi nyuma yake...!
Dr Slaa alikuwa hana ulinzi wowote? nauliza tu maana nimeona ka mtu kama Topical hivi nyuma yake...!
Endelea kuamini hivyo usijejikuta unakufa wewe chama kikabaki.CUF kufa si rahis kama unavyoota.Hayo ni mapito ya kisiasa ili chama kuwa imara.CHUMA ILI KIWE IMARA LAZIMA KIPITITIE KWENYE MOTO KIUNGUZWE NDO KIWE CHUMA.HAPA TULIPO TUPITA NA KUWA IMARA ZAID.TIME WILL TELL
Slaa ndugu yangu lakini urais ameenda kusiko...anastahili awasaidie wanakondoo period..
NRA, UMD, TLP . . . . . . . . . . bado zipo kwenye mapito sio? kwa taratibu za mila za zamani kiongozi wa kabila akifa huzikwa na mtu aliye hai, naona ushapumbazwa utaisindikiza imekufa mzikwe ukiwa hai, na atokee mtu akuokoe kifikra labda utashtuka.
Acha uoga, a coward is a liar.
Kwa nia njema mzee mkubwa kawasabahi wafiwa waliokuwa wakihani msiba wa ile maiti yetu CUF tena iliyoanza kuoza.