kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
acheni uongo Dr slaa alikuwa na njia zake.tena alizua vurumai pale wanachama wa cuf wakidai cdm ni wabinafsi bunge mpaka wengine walitemea mate gari yake na kutoa maneno machafu.kwa nini? Watu si wakweli kila kitu ni ushabiki tu.semeni hali halisi ili watu wajifunze na wapate habari za kweli