Pendael6410
Senior Member
- Oct 18, 2012
- 154
- 214
Chadema bwana, yaan mi siachi kuwapenda! Sasa maccm yanaharisha kwa hofu....go Slaa...---- em
Wewe ni msukule wa ufipa.na bado, Utatumika sana.we pimbi kweli..2010 msigwa alikuwepo kwenye kamoeni za Dr.Slaa au unajifurahisha tu ?mnadhani hizi ni zile kampeni zenu za kula wali na maharage
Ameenda kutangaza uhalalishaji wa gongo
Sisi ndio tumempuuza huyu anaetaka kuhalalisha gongo atuharibie nguvu kazi ya taifaUnahangaika sana.
Watu tumeamua kukupuuza.
Tuko busy na kutoa Elimu ya Uraia na kuhakikisha tunayapeleka Magamba Morgue.
huyu mzee amezeeka sana basi tu ni kig'ang'anizi wa siasa au labda chama ni cha jamii yake. Nadhan 2015 ndo mgombea urais wa cdm!
huyu mzee amezeeka sana basi tu ni kig'ang'anizi wa siasa au labda chama ni cha jamii yake. Nadhan 2015 ndo mgombea urais wa cdm!
huyu mzee amezeeka sana basi tu ni kig'ang'anizi wa siasa au labda chama ni cha jamii yake. Nadhan 2015 ndo mgombea urais wa cdm!
Chadema mnahaha.oM4C Pamoja Daima ndiyo habari ya mujini. Nchimbi, Mhagama, na Komba mtaisoma namba.
Bahati mbaya sana hakuna mpiga kura hata mmoja hapo-aidha hawana kadi au zeal ya kupiga kuraSafi sana hiki ndicho tunachohitaji