Wakashina
Senior Member
- Jan 12, 2014
- 134
- 23
Gulongi mtuwa!! Paherepa apa mika maya ga shii
Mkomeri pasipasi kumpindi wapita wantu!!
Chadema, viva x 1000
hheeeeeee mtuwa lichama ali likulukulu, langchoma mpaka kumtima
Gulongi mtuwa!! Paherepa apa mika maya ga shii
Mkomeri pasipasi kumpindi wapita wantu!!
Chadema, viva x 1000
Unaonekana dhahiri unatumika vibaya na macdm, umekunywa sumu ya m4c hadi ukaathrika ubongo. Endelea kushabikia kwenye hamna, aibu kuu inakuja 2015. Siasa za kujaza watu mkutanoni halafu ukavimba kichwa kuwa nakubalika hazitoi taswira sahihi. Muulize Mrema na Mtikira hawa waliwahi kujaza watu misili ya sisimizi, Mwisho wa siku chali.
Umevurugwa , ungefuatilia hata aina ya chopa ungekuwa na kumbukumbu sahihi...
Nilitaka kugonga like nimekosa kama Mw.ana.Ha.li.siForum. Hat hivyo nimependa mwamko wa wananchi na kuchukia ufisadi
Umati mkuuubwa! naona songea nzima wliudhuria!Hakika mungu atakuwa na wanyoge ambao wamenyanyaswa kiasi cha kutosha, wameonewa kiasi cha kutosha, wamepuuzwa kiasi cha kutosha, wamebaguliwa kiasi cha kutosha, wamedanganywa kiasi cha kutosha na sasa wanataka kukombolewa na tumaini kumbwa la ukombozi huu liko mikononi mwa makamanda kama daktar wa falsafa wa ukweli W. P. Slaa
Tunachoomba tu wasijirushie mabomu
huyu mzee amezeeka sana basi tu ni kig'ang'anizi wa siasa au labda chama ni cha jamii yake. Nadhan 2015 ndo mgombea urais wa cdm!
huyu mzee amezeeka sana basi tu ni kig'ang'anizi wa siasa au labda chama ni cha jamii yake. Nadhan 2015 ndo mgombea urais wa cdm!