Picha: DK. Slaa aivuruga CCM Ruvuma

Picha: DK. Slaa aivuruga CCM Ruvuma

Picha za mwaka 2010 zinatumika leo kuhadaa watz mitandaoni na kwenye media

We lo.fa kabisa watu wamevaa Tshirt zimeandikwa M4C we unasema picha za 2010.We kweli DIVISION 5 za Mulugo.2010 kulikuwa na M4C??????Poor you
 
Pipooooooooooooozi...........pawaaaaaaaaaaaaa.......!!!!!!!!!!
 
Chadema mmekuwa viziwi??? Mbona yule mzee wa kuchapa usingizi bungeni na taarabu zake pamoja na waziri mpya waliwapiga marufuku??
Dr. Slaa hukusikia? B/up saaaana tu Dr. Mungu akulinde, Mungu akupe nguvu, moto ulioanzwa usizimike mpaka 2015 wajikute matopeni. Vurugeni macceem mpaka kitambi kiyeyuke au akalazwe Peramiho Hosp.
 
ma ccm bwana kazi wanayo wameshaanza kuzusha eti picha za 2010,sasa mtuwekee nyie zenu za 2014 na imani mpo kwenye mikutano ya chadema sasa mmevurugana na KAMATI KUU NA JK kuwakumbatia mizigo su=ie tunatoa elimu ya urai,na ole wenu msiliboreshe daftri la wapiga kura kazi mnayo CCM byebye
 
Ombi kwa DR.Slaa na Chadema,baada ya 2015 rudisheni mali zote za umma kama viwanja na majengo walioyapora ccm na kuwachukulia hatua kali mafisadi wote kuanzia na ile list of shame ya Mwembeyanga.
 
Halafu picha zenyewe watu wamenuna kama wanamkosa Zitto. Hiyo ni pamoja ni na kuwa picha za zamani
 
Eee bhana eee ! Nyomi ya kufa mtu ! Kweli CHADEMA HAITANII .
 
Ndioo maana ma ccm hayataki kabisa kumuona muasisi wa chopa ktk siasa za tanzania Mh.Mbowe!
 
Eee bhana eee ! Nyomi ya kufa mtu ! Kweli CHADEMA HAITANII aisee !
 
Makamanda... Mnawapa wenzenu ugonjwa wa moyo!
Nashinda kupata picha Mungu Akituweka tukauona mwaka 2015 sijui itakuwaje?
Kitaeleweka!!!
 
Duu CDM mtaahangaika sana mwaka huu kila kukicha kauli mbiu sawa sasa bado Tanzania Daima!

Mtakuja kujutia matokeo yake 2015 na lazima muangukie puwa mwaka huu! Malizieni hela zetu za ruzuku hizo ofisi zenu hata pen hamna!
 
Back
Top Bottom