MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,268
Hakuna cha propaganda hapa. CCM hakuna propaganda ndiyo maana kulikuwa kuna matangazo ya television na radio.naona unaamua kupotosha ukweli kwa makusudi, mkuuu na akili zako zooote unatumika kwa sababu ya buku 7.. polesana....
CCM haihitaji wakina thomaso wa kwenye biblia.