Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 78
Kila la kheri CHADEMA na Mungu atasaidia katika hili na pia kuona jinsi gani wanaweza kuboresha maisha ya Watanzania
Looh! mbona vitoto vya shule vilivyojaa hapo; ambavyo havina hata shahada ya kupigia kura!
Mbona umewataja wengi Alwataan!...mmoja tu akiondoka,you know who.
Pasco huwa hajiandai kutetea hoja zake anaanzisha then anapotea anaendeshwa zaidi na itikadi.
Ngongo yeye ni ghubu la husuda lililomjaa moyoni juu ya mafanikio ya Lema kisiasa hilo halitamtoka maana Lema ndiyo anapaa hivo.
si ajabu hakuna hata mmoja kwenye hilo genge mwenye kadi ya chadema. Tanzania ni nchi rahisi sana kukusanya umati wa watu. wewe weka stage, washa bongo flava halafu usikilizie.
Kazi nzuri sana mkuu....https://www.facebook.com/video/video.php?v=2337500403258&oid=139566169436330&comments
Check this out; on Nape Facebook Page
<br />WAKUU KWA KIFUPI WAMEWACHANA WAKINA MKUU WA KAYA NA MTOTO WA MKULIMA<br />
<font size="4"><br />
1.<font color="#ff0000"> imewekwa CD ya yule diwani aliye fukuzwa alipo kuwa akiwasiliana na polisi ili awape hongo polisi wazuie mikutano ya chadema jijini A town.<br />
<br />
2. DR KAWACHANA WAZIRI MKUU KWAMBA NI MUONGO SANA NA ANAO WALAKA KAMA KAWAIDA WAKUTOKA KWA IGP KWENDA KWA MAKAMANDA WA POLISI WA MIKOA YOTE WAKIAGIZWA WAWAOMBE PILISI RADHI NA WAWATULIZE POLISI KWA KITENDO CHA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI KUDANGANYA TAIFA KWAMBA POLISI WANALIPWA POSHO YA 150,000 KUMBE UKWELI NI 100000.<br />
<br />
3. Dr AMEDAI KUNA BAADHI YA POLISI WAMEANZA KUKAMATWA KWA KUDAI POSHO YA 150,000 KAMA ILIVYO TANGAZWA BUNGENI<br />
<br />
4. KAMANDA MBOWE NAYE KAMCHANA PINDA KWAMBA ANAONGOZA KWA KUDANGANYA BUNGE AKITOA MFANO WA LEO ASUBUHI WA MASWALI YA PAPO KWA PAPO<br />
<br />
5. KAMANDA AMWESEMA CHADEMA WAMETOA SIKU 30 MGOGORO UMALIZWE LA SIVYO LINAANZISHWA TENA.<br />
<br />
6. LEMA AMESEMA ANAENDA BUBGENI KUTAKA MWONGOZO WAKE UTOLEWE NA SPIKA LA SIVYO HAKITAELEWEKA HUKO MJENGONI<br />
<br />
7. LEMA AMESEMA HAITAJI KUSIFIWA NA ANA MAKINDA PAMOJA NA NDUGAI KWAN MKE WAKE ANATOSHA KUMSIFIA.<br />
<br />
8. LEMA AMEDAI HAITAJI KABISA KUSIFIWA NA WABUNGE WA CCM <br />
<br />
HAYO NDO NILIYO NASA</font></font>