Alwatan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 409
- 129
Hivi Chadema mna nini? Mbona Dar hamji? Mmetunyima haki yetu ya kikatiba ya kuandamana kupinga chama na serikali kandamizi? Chonde chonde, njoo dar es salaam, tuikomboe nchi yetu, huku ndiyo kila kitu, Misri, Tunisia na Yemen wamekombolewa kutoka miji yao mikuu, ona Syria wanavyolipuliwa kwa kuandamana miji midogo, I humbly request chadema to see Dar kama kitovu cha ukombozi wa mtanzania,
Is Arusha to CHADEMA the same as PEMBA is to CUF?... Please prove me wrong.