Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 71
Hivi Viongozi wa CCM wakiona picha kama hii vichwani mwao wanaona nini?Hakika uwa siamini kuwa kuna kiongozi huwa anaona umati [ukiita ni genge au kundi ni makosa huu ni umati] na anauchukulia kama wahuni kama walivyozoea kuwaita,jamaini itakuwa ni wendawazimu uliopitiliza.
Poleni CCM endelezeni mbwembwe zenu za kujivua gamba na kuwalea mafisadi wanaopeleka chama chenu kaburini.Mnapaswa kutishwa na mahitaji ya UMATI HUU na sio MAHITAJI YA WATU WASIO ZIDI MIA MOJA NA HAMSINI.
ITAKUWA NI AIBU NA KIFO CHA CHAMA CHAO NA HATIMAE KUKUMBANA NA HUKUMU YA UMMA ambayo ni mbaya na ina aibu kubwa sana kwa wahusika, familia na marafiki wao.
Wajifunze kupitia PICHA, kwani WACHINA WANASEMA PICHA UZUNGUMZA MARA ELFU MOJA [A Picture Speaks a thousands words]
CCM endeleni kuwapuuza wanauamati huuu.
Nchi hii ina watu wengi katika mikoa mbalimbali, lakini nyie kila siku ni Arusha tu??? sijawahi kuwaona katika mikoa mingine. Na wewe kwa mtizamo wako unadhani ni watu wa Arusha pekee ndio wa kuifikisha CMD magogoni?