Negotiator
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 303
- 44
Fursa ya wananchi kuchagua kuimarisha ufisadi na makali ya maisha ama kutengeneza njia ya ukombozi wa maisha ya wanigunga na watz kwa ujumla.
Mbona sura zao hazioneshi matumaini? Yaani ni kama watu waliokata tamaa hata kabla ya mchezo. Kuna umuhimu gani kuingiza timu wakati unayetaka kucheza naye ni klabu bingwa milele? Je huku si kujitafutia kilio?
Kama nyie ndio washauri wa Kikwete sintomlaumu kuuza Serengeti kwa suti.Mbona sura zao hazioneshi matumaini? Yaani ni kama watu waliokata tamaa hata kabla ya mchezo. Kuna umuhimu gani kuingiza timu wakati unayetaka kucheza naye ni klabu bingwa milele? Je huku si kujitafutia kilio?
Nani alikuambia ccm haina mpinzani? Mwanza, musoma, shinyanga, kilimanjaro, arusha....to mention a few,mbona huko ccm haina chake? Na hata igunga ndivyo itakavyokuwa. Acha kujikosha kwa Nape, sema ukweli<br />
<br />
Sasa kama unyo tafsiri ya neno milele si uiweke hapa, makelele mengi hayasaidii kitu. Ukweli unabaki kuwa CCM hainaga mpinzani linapokuja suala la viuchaguzi vidogo kama hicho ambacho Magwanda ndiyo wameona ni nafasi ya kuonyesha misuli yao.
Bora kupauka na kukosa magwanda kuliko kuhongwa suti na mwanamme mwenzako shame.Mbona hao kina mama wamechoka sana CDM ebu jaribuni kuwatafutia Magwanda kama yale wanaovaa kina Halima Mdee! Wamepauka sana
Duu!!!!!! kumbe hata wewe unamfahamu vizuri Mwita25? Nimecheka sana<br />
<br />
kiingereza kingi bila hela ni makelele tu
wamepauka km avatar yako,coz magamba ndio kazi yao kupausha nchi kwa ufisadi na ubadhilifu wa mali za umaMbona hao kina mama wamechoka sana CDM ebu jaribuni kuwatafutia Magwanda kama yale wanaovaa kina Halima Mdee! Wamepauka sana
<br />Mbona sura zao hazioneshi matumaini? Yaani ni kama watu waliokata tamaa hata kabla ya mchezo. Kuna umuhimu gani kuingiza timu wakati unayetaka kucheza naye ni klabu bingwa milele? Je huku si kujitafutia kilio?
<br /><br />
<br /><br />
What did you say? Of all party cadres, Sugu? Including this dunce into the campaign squad is tantamount to losing the battle even before touching the battlefield.
<br />Mbona sura zao hazioneshi matumaini? Yaani ni kama watu waliokata tamaa hata kabla ya mchezo. Kuna umuhimu gani kuingiza timu wakati unayetaka kucheza naye ni klabu bingwa milele? Je huku si kujitafutia kilio?
<br />Nani alikuambia ccm haina mpinzani? Mwanza, musoma, shinyanga, kilimanjaro, arusha....to mention a few,mbona huko ccm haina chake? Na hata igunga ndivyo itakavyokuwa. Acha kujikosha kwa Nape, sema ukweli
<br /><br />Kuna Jamaa yangu amenipigia simu kapishana na msafara wa fuso za CDM zinasomba watu kutoka Moshi zinaelekea Igunga.<br /><br />
Kwenda kuongeza nguvu