Picha: Chadema warudisha fomu Igunga

Fursa ya wananchi kuchagua kuimarisha ufisadi na makali ya maisha ama kutengeneza njia ya ukombozi wa maisha ya wanigunga na watz kwa ujumla.
 
Mbona sura zao hazioneshi matumaini? Yaani ni kama watu waliokata tamaa hata kabla ya mchezo. Kuna umuhimu gani kuingiza timu wakati unayetaka kucheza naye ni klabu bingwa milele? Je huku si kujitafutia kilio?

Uko sahihi kabisa Mwita nashangaa eti wanakupinga! Ni sura zilizokata tamaa na uongozi wa CCM tangu wazaliwe, sasa wamekata tamaa na wamechoka, wanataka mabadiliko!
 
Mbona sura zao hazioneshi matumaini? Yaani ni kama watu waliokata tamaa hata kabla ya mchezo. Kuna umuhimu gani kuingiza timu wakati unayetaka kucheza naye ni klabu bingwa milele? Je huku si kujitafutia kilio?
Kama nyie ndio washauri wa Kikwete sintomlaumu kuuza Serengeti kwa suti.
 
Imani ni kuwa na hakika na mambo tunayoyatarajia ikiwa na ari ya kweli kwa kila mmoja..Igunga ndiyo itawakata miguu CCM kwa chaguzi zijazo.Tuwe makini katika kila litegemewalo..
 
Mbona hao kina mama wamechoka sana CDM ebu jaribuni kuwatafutia Magwanda kama yale wanaovaa kina Halima Mdee! Wamepauka sana
 
<br />
<br />
Sasa kama unyo tafsiri ya neno milele si uiweke hapa, makelele mengi hayasaidii kitu. Ukweli unabaki kuwa CCM hainaga mpinzani linapokuja suala la viuchaguzi vidogo kama hicho ambacho Magwanda ndiyo wameona ni nafasi ya kuonyesha misuli yao.
Nani alikuambia ccm haina mpinzani? Mwanza, musoma, shinyanga, kilimanjaro, arusha....to mention a few,mbona huko ccm haina chake? Na hata igunga ndivyo itakavyokuwa. Acha kujikosha kwa Nape, sema ukweli
 
Negotiator,

Duuuuuhhh, huu ujumbe 'BAD LEADERS ARE ELLECTED BY GOOD AND PATRIOTIC CITIZENS WHO DO NOT VOTE'' kiboko!!!!!!!!!!! Eti viongozi wabovu na walarushwa kama Rostam Aziz ni sisi wenyewe TULIMWEZESHA KUSOGELEA MJENGO WETU DOMZ KWA JIKATALIA KWETU TU kwenda kupiga kura??????????????

Wana-Igunga tafakarini sana ujumbe huu kwamba VIONGOZI WAOVU NA WAZULUMISHI WANAOCHANGIA MAISHA KUSHINDIKANA KWA WALAZWAHOI (wewe na mimi) SIKU ZOTE HUCHAGULIWA NA WANANCHI WAZALENDO NA WAUNGWANA ambao siku zote hujichagulia kutojitokeza kwenda kupiga kura.

Hebu kaumbueni shetani kwamba kwa Igunga watu wa aina hiyo safari hii hawapo tena katika harakati zenu na azma za kung'oa kabisa Mbuyu wa ufisadi nchin kwa kuanzia hapo Igunga.
 
Yule Mwana-CCM aliyejichagulia kuwatukana wasomi na mchango wao katika azma yao ya kukomboa Jimbo la Igunga, hizi jitihada mnazoziona hapa na kwingineko bado ni rasha rasha tu kukizika kabisa CCM, Mvua ya mawe ndio hivo sasa iko njiani kuanza kupiga kila kona ya nchi na mabadiliko makubwa sana katika historia ya taifa letu kupatikana hivi karibuni.

Lakini kwa dharau dharau zenu hizo miguu haitochelewa kupmba miba kila upande.
 
Mbona hao kina mama wamechoka sana CDM ebu jaribuni kuwatafutia Magwanda kama yale wanaovaa kina Halima Mdee! Wamepauka sana
wamepauka km avatar yako,coz magamba ndio kazi yao kupausha nchi kwa ufisadi na ubadhilifu wa mali za uma
 
Mbona sura zao hazioneshi matumaini? Yaani ni kama watu waliokata tamaa hata kabla ya mchezo. Kuna umuhimu gani kuingiza timu wakati unayetaka kucheza naye ni klabu bingwa milele? Je huku si kujitafutia kilio?
<br />
<br />
 
Jioni hii saa tisa kama na nusu nimekutana na msafara wa magari yenye bendela cha chadema kama saba hivi maeneo ya Ruvu inaonekana kesho IGUNGA kutawaka moto Chadema wapo njema sana kazi nikulinda kura tu kwani wamesha zipata tayari.
 
Kuna Jamaa yangu amenipigia simu kapishana na msafara wa fuso za CDM zinasomba watu kutoka Moshi zinaelekea Igunga.
Kwenda kuongeza nguvu
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
What did you say? Of all party cadres, Sugu? Including this dunce into the campaign squad is tantamount to losing the battle even before touching the battlefield.

hahahahah mwita, hahahan unanifurahisha sana na maininglishi yako...hahahahaha nimecheka mpaka basi, nilianzi akule kwa ...sober visaged dude, who looks like a bull chewing wasps. dhahahahahahahhahahah kaka mh!!! haya bana keep it up
 
Mbona sura zao hazioneshi matumaini? Yaani ni kama watu waliokata tamaa hata kabla ya mchezo. Kuna umuhimu gani kuingiza timu wakati unayetaka kucheza naye ni klabu bingwa milele? Je huku si kujitafutia kilio?
<br />
<br />
Mkuu nilishasema tangu mwanzo kuwa cdm na cuf ni wasindikizaji na wala.si washindani hata kidogo
 
Nani alikuambia ccm haina mpinzani? Mwanza, musoma, shinyanga, kilimanjaro, arusha....to mention a few,mbona huko ccm haina chake? Na hata igunga ndivyo itakavyokuwa. Acha kujikosha kwa Nape, sema ukweli
<br />
<br />
duuh,id kama yangu hii,mods angalieni hili
 
Magwanda wanaonesha wapo hoi bin taabani Igunga. Hao ndio wote pamoja na Mamluki wa Mwanza, Arusha na Dar?

Magwanda poleni in advance.
 
Kuna Jamaa yangu amenipigia simu kapishana na msafara wa fuso za CDM zinasomba watu kutoka Moshi zinaelekea Igunga.&lt;br /&gt;<br />
Kwenda kuongeza nguvu
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Shangazi yangu wa Mbeya kasema ameona mabasi matatu ya Sumry yamebeba wahuni wa Sugu kutoka Mbeya mjini kwenda kuongeza nguvu za Chadema Igunga.
 
Back
Top Bottom