Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Mkulu ndiye anajua kuitamka vizuri wasiliana naye wengine wamezoea guest za vichochoroni..Kempiski ndio nini taja vizuri unadhani Rombo Hotel hiyo
Mkulu ndiye anajua kuitamka vizuri wasiliana naye wengine wamezoea guest za vichochoroni..Kempiski ndio nini taja vizuri unadhani Rombo Hotel hiyo
Mbona sura zao hazioneshi matumaini? Yaani ni kama watu waliokata tamaa hata kabla ya mchezo. Kuna umuhimu gani kuingiza timu wakati unayetaka kucheza naye ni klabu bingwa milele? Je huku si kujitafutia kilio?
<br />Nawashangaa sana,pale topic inapo anzishwa badala ya kuchangia<br />
topic husika,mtamuongelea Mwita mwanzo mwisho na topic inapoteza maana.<br />
<br />
Is that necessary?
Lema ndio mradi wake!Nani anauza skafu na magwanda ya Chadema!
Hata shetani (devil) was a rising star.<br />
<br />
Mwita25 is a rapidly-rising star and will soon be a superstar. His remarks are so substantial that missing one of them is worth perpetrating reprehensible crime deserving a respective condign punishment.
<br />Tarajia muziki munene pindi watu hao watakapowasili pale Igunga ndipo utakaapopata akili wewe mraaa. Lakini na wewe vipi yule jamaa mwingine wa TOP sijui OTTU mara ToT kwani safari hii hatii timu na kwaya yake pale Igunga.
Hakuna chama kitakachofikisha 50%.Upepo ni dhahili ccm itashinda kwa around 60% bila hata mlango wa nyuma kama ambayo wana forum wananza kujipelekea mawazo yao hako!
perpetrating reprehensible crime deserving a respective condign punishment.
<br /><br />
<br /><br />
Shangazi yangu wa Mbeya kasema ameona mabasi matatu ya Sumry yamebeba wahuni wa Sugu kutoka Mbeya mjini kwenda kuongeza nguvu za Chadema Igunga.
Bado hujacheka, utacheka zaidi kuna thread humu ya leo leo, pamoja na mbwembwe zake zote za kiingereza cha kikasuku (kukariri ) huyu Mwita25, hajui maana ya Reputation Power, kwahiyo ameanzisha thread ili ajulishwe!Duu!!!!!! kumbe hata wewe unamfahamu vizuri Mwita25? Nimecheka sana
Ukijibu maana ya Reputation Power nakupa zawadi.<br />
<br />
Mwita25 is a rapidly-rising star and will soon be a superstar. His remarks are so substantial that missing one of them is worth perpetrating reprehensible crime deserving a respective condign punishment.
Ukijibu maana ya Reputation Power nakupa zawadi.
Angalia jinga lingine hili hapa, mnajifanya mnajuwa lugha za wakoloni matokeo yake mnakuja kuahibika mbele ya Forum, haya mtafsirie mwenzako maana ya Reputation Power, maana amefunguwa thread kuomba kufahamishwa maana yake. kweli kuchamba kwingi ni lazima utatoka na kinyesi.its getting to my nerves, will you please ditch this childish sh**
<br />Mbona sura zao hazioneshi matumaini? Yaani ni kama watu waliokata tamaa hata kabla ya mchezo. Kuna umuhimu gani kuingiza timu wakati unayetaka kucheza naye ni klabu bingwa milele? Je huku si kujitafutia kilio?