Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
jamani kuweni wavumilivu jamaa bado kwenye mikakati ya kesho si unajua mabwepande mkizubaa tu inakula kwenu mchana kweupe..
subiri uone hiyo photoshop kwenye masanduku ya kuhesabia kura. Nasikiwa umeshapewa dili kule . . . . . umelamba shavu la ukampeni meneja kwi kwi kwi, lazima ukwame na uweka hazina wa chama wakutimue.