Nakumbuka siku ileee. Palinoga ile mbayaaa. Inanikumbusha katika Quran Tukufu na Hadithi za Mtume Muhammad (S.A.W) jinsi alivyofanza safari za kuwalingania ummat wake, kivumbi kilikuwa kila akipita huko nyuma anaacha moto, maswahaba wanaongezeka mpaka maqafiri wa Kikoreishi wakatangaza kwamba Muhammad ni "MCHOCHEZI NA MFITINI" wakataka kumuua. Ndipo ALLAH (S.W) akashusha Aya.... Hakuna ukombozi lelemama
Watu wanafunguka....
Sehemu ya umati ya watu waliojitokeza kuwasikiliza makamanda wa M4C
Viongozi wa CHADEMA wakiingia uwanjani...
Tundu Lisu,
Dr. Slaa akihutubia
Mbowe akihutubia
masanduku ya kura ndio yakayoamua sio umati wa watu!
Watu wanafunguka....
Sehemu ya umati ya watu waliojitokeza kuwasikiliza makamanda wa M4C
Viongozi wa CHADEMA wakiingia uwanjani...
Tundu Lisu,
Dr. Slaa akihutubia
Mbowe akihutubia
Kumbe ndiyo akili yako?masanduku ya kura ndio yakayoamua sio umati wa watu!
masanduku ya kura ndio yakayoamua sio umati wa watu!