Picha: CHADEMA M4C Mtwara

Safi sana, pigeni kazi makamanda sisi tulio mbali tutaendelea kuchanga.Kuna jamaa jana kaweka thread humu eti ooooh bendera za magamba zinapepea sana kwa hiyo M4C haina chake, namuuliza je ameona picha?
 
Leo Magamba wameandika hii habari katika Blog Yao kuwa Chadema yakwaa Kisiki Mtwara, Source, CCM Blog; CCM Blog: CHADEMA YAKWAA KISIKI MTWARA.

My Take
Inaonekana Magamba wanapata sana shida na M4C for real! Na kazi ndiyo imeanza

Peeeeeeeopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeees!
 
Palipo na ukweli uwongo hujitenga wandugu,,, kumbe wanachuo siyo watu ..... Please acheni propaganda tupeni ukweli watz
 
Leo Magamba wameandika hii habari katika Blog Yao kuwa Chadema yakwaa Kisiki Mtwara, Source, CCM Blog; CCM Blog: CHADEMA YAKWAA KISIKI MTWARA.

My Take
Inaonekana Magamba wanapata sana shida na M4C for real! Na kazi ndiyo imeanza

Peeeeeeeopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeees!

Mkuu kwa intelejensia yangu naona kwamba hiyo habri kwenye blog itakuwa iliandikwa na Shibuda au wale vijana wa uhamsho kule zenji.
 
..there is still time mpaka 2015.

..they only have to try again, and again.

..kutokana na kuboreshwa miundo mbinu, na kugundulika kwa gesi asilia, mikoa ya kusini inatarajiwa kuwa na influx ya watu toka mikoa mingine.

..uwezekano wa political landscape kubadilika huko ni mkubwa. things dont look very promising kwa CCM.
 
kwa kuwa ni blog yao, naona wanajiongopea wao, habari za mfalme Juha hizo! Mbona hawakuweka comments kama hizo while "Chadema Square?"
 
Huwezi kuwa ngome ya CCM, kama huna uhakika wa mambo mengi tu katika maisha yako, kuanzia, umeme, usalama, huduma za afya etc. Wale wachache waliokuwa ni ngome ya CCM kwa kuwa wana ajira nao wameona kuwa kuna mambo mengi sana CCM haiyafanyi, kama kuzuia ufisadi, uboreshaji na uangalizi wa miondombinu et al.

Blog kama hii inaweza kuwa na hits nyingi sana kwa ajili ya thread kama hivi zenye link, mtu ana click akifika huko anaona hakuna jipya humuoni tena siku ingine. CCM nafikiri wajikite kwenye kuondoa kero za wananchi zaidi kuliko propaganda, maana hakuna anayewaamini tena.
 
Aibu kubwa kwa ccm,kuropokaa bila uhakika hao waandishi wanaijua taaluma yao vizuri kweli?
 
Badala ya CCM kukesha wakichungulia CHADEMA inafanya nini wangejikita kwenye mambo yanayowahusu. Mpigania uhuru wa nchi Mzee Kyaruzi kazikwa bila ya mwakilishi yoyote toka serikali ya CCM kuwepo.
 
Back
Top Bottom