Picha: CHADEMA M4C Mtwara

Picha: CHADEMA M4C Mtwara

ukubwa wa pua si wingi wa makamasi.vijana wanakua wengi kuwaona watu maarufu hasa yule jokeboxer na DJ wa muziki pale clubbilikanasa.mwisho wasiku wapigia CCM.kidumu cha chamapinduzi......kidumu chama tawala

Mwaga mboga mwaga ugali ,nani iko shinda bhana?
 
attachment.php

Watu wanafunguka....


attachment.php

attachment.php

Sehemu ya umati ya watu waliojitokeza kuwasikiliza makamanda wa M4C

attachment.php

attachment.php

Viongozi wa CHADEMA wakiingia uwanjani...

attachment.php

Tundu Lisu,


attachment.php

Dr. Slaa akihutubia

attachment.php

Mbowe akihutubia

Mukioneshwa ya Lipumba si mtajamba cheche mtakunya moto,muhimu ni nini kifanyike Mtwara.
 
Lol!!Mziki wa Chadema ni zaidi ya Sonny System ni balaa yaani Chadema inapasua anga na nchi kavu Makamanda wako gado kila kona na wanachi wanawakubali kinoma kutokana na sera za ukweli na kuwafumbua wananchi macho na sasa kila kona ya nchi watu washaelewa nini haki yao na wamenza kudai kwa amani then wanapuuzwa na baada ya kupuuzwa kwa maneno ya kejeli na matusi wakaona this is too much we have to go on streets to get what we sappose to have,Big Up wana Mtwara wakati ndio huu,hakuna kulala mpaka kieleweke!!Mungu Ibariki Chadema Viongozi wake pamoja na wanachama na wale ambao ni washabiki wa Chadema,Mungu ibariki Tanzania.
 
Neno ni mbegu ambayo ukiiotesha huchukua muda then utaiona imechipua.
Hicho ndo CHADEMA walikifanya kusini 2012, ona sasa watu wa kusini walivyo wazuri, waliweka akili kichwani, Asanteni sana sauzi.
 
kumbe viongozi walimaliza kazi siku nyingi .nyie ccm mtachoka kutoa sumu sanaa nahuku kwetu tunasubiri ile kapuni ya mama wa nchi hii aje aanze kuchimba zahabu tumuoneshe kazi.
 
attachment.php

Watu wanafunguka....


attachment.php

attachment.php

Sehemu ya umati ya watu waliojitokeza kuwasikiliza makamanda wa M4C

attachment.php

attachment.php

Viongozi wa CHADEMA wakiingia uwanjani...

attachment.php

Tundu Lisu,


attachment.php

Dr. Slaa akihutubia

attachment.php

Mbowe akihutubia

kwakweli itia hamasa,wanwmtwara macho mbele akuna kurudi nyuma,kwani saa ya ukombozi ni sasa
 
Kwa umati huu nawashauri CDM wasitie neno lolote kwa yanayotokea mtwara, kama ambavyo CUF nao wako kimya!!! Baadaye wataifanyie kazi na itazaa matunda 2015.
 
Hivi unaamini leo hii uchaguzi ukiitishwa mtwara CCM mtaambulia kitu...

Katika mtari wa namba kuna upande wa chanya na hasi, ukishavuka sifuri kuelekea kushoto au kusini wa pande nne (mistari miwili iliyokutana na ku form 90 degrees) basi kuna namba hasi----huko ndiko mahali halali kwa SSM 2015. Take may words, na si kusini tu ni maeneo mengi ya Tanzania kwa sasa.
 
Hili darasa ndio limeleta shida huko Mtwara

Kama kweli ni darasa basi watanzania wote masikini ambao wamefukuzwa katika ardhi yao ili kupisha makampuni yahamishe madini na wanyama tena kwa kuchomewa kila kitu basi wanatakiwa darasa hili. Wale ambao mifugo hadi mbwa na wao wenyewe wameliwa na zebaki migodini kwa maji ya sumu nao wanahitaji hili somo. Aise, watanzania wana mateso. Nyerere akifufuka leo ataomba afe na asifufuke tena ayaone. So sad. We now have both local and foreign capitalists minority exploiting majority.
 
Duh, Hangover ya UFISADI mbaya sana, eti CCM sasa hivi ndo wanavuta shuka kujifunika wakati jua kaliii....Kwishnei...
 
wavaa magwanda wanafurahisha sana, kwa kuishi kwa matumaini wanawazidi hata wagonjwa wa ukimwi. kama kujaza watu mikutanoni hata chaguzi za serikali za mitaa zilizopita mngepatata asilimia 100 za ushindi, lakini ukweli mnaujua.
 
Back
Top Bottom