Be qualitative as well as quantitative.Don't count numbers count knowledge.
Ni kina nani nyie wa risasi?Mududu aling'oka 2010, kwa bahati mbaya mkashindwa kulinda kura zenu! je! 2015, mtaweza kuzilinda? Wenzenu tulipata kwa risasi, hatutaachia kwa karatasi.
In this techno century quantitative is nothing but a bundle of rotten garbage.Be qualitative as well as quantitative.
ni kweli mwaka 2010, lakini kwa mwamko huu na kwa kulitambua hilo 2015 tunaendelea kuhamasisha na ifikapo mwaka 2014 tutakuwa na kampeni ya "Piga kura linda kura" halafu uje na hilo swali mwaka 2016sijui wadau kama washapa jibu walilokuwa wakiuliza kwa nini mkutano ufanyike.. silence means???
CCM imecha anza kuanga wananchi na wamejianda kwenda kumpiga raisi mahakamani baada ya kuona hawatashinda tena bali watakuwa chama cha upinzania kuanzia 2015....moto umehamia kusini na wamekubalika.Sijui magamba hapa watatoka na wimbo gani tena?
majibu yako yanalingana na yangu niliyowapatia lakini hawakuonekana kuridhika then pakawa silence ghafla. does tht means wauliza maswali washajipatia majibu wenyeweni kweli mwaka 2010, lakini kwa mwamko huu na kwa kulitambua hilo 2015 tunaendelea kuhamasisha na ifikapo mwaka 2014 tutakuwa na kampeni ya "Piga kura linda kura" halafu uje na hilo swali mwaka 2016
Napendekea kila mkoa ikiwezekana kuwe na chadema squire ili kufuta kabisa zama za nyinyi em.
Kadi ngapi za magamba zimerudi?
Mwaka 2015 chadema ni chama tawala..ombi langu kwa wapenda mabadliko tuzidi kuichangia M4C kama alivosema mbowe kuiondoa CCM madarakani ni garama tena kubwa, tusibaki kushagilia na kubeza bila nasi kushiriki kwa njia moja au ningine.....
Hivi huko NTWARa nako hakuna wanawake wa kujohn m4c.? Mbona me nawaona wanaume tu.
Au wanawake nao hawataki mabadiliko?